Nyaluhusa87
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 1,303
- 262
Wavunje timu wajitoe kwenye michuano yote tujipange tena
Changamka kaka uwahi kwa shemeji!na hivi tulivyopoteza kurudi home inakuwa na kauvivu fulani!
dah......poa tu tumeshazoea!
Niko nae, kavuta mdomo kwa hasira utafikiri timu iliyyofungwa anailipa mshahara!
Siku hizi hata maumivu ya kupoteza siyo makali sana!tunajivunia uzoefu wa kufungwa...[/QUOT
kweli mkuu, uzoefu unatusaidia sana, tunaona kawaida tu!