Hiyo dunia inayoichambua ni EPL prke yake?
Anarud uwanjan au kwenye bench la ufund la Simba ..?!Simba sports club ya DSM inafikiria kumrejesha tena mchezaji wake wa zamani Haruna Moshi Boban kutoka Mbeya city .
Uwanjani.Anarud uwanjan au kwenye bench la ufund la Simba ..?!
Duuuh,Uwanjani.
Mkubwa dawa .D
Duuuh,
Kweli watan wanaimarisha kikos chao ..!!
Mtani maskhara hayo kesha jichokea huyo.Uwanjani.
It is Confirmed !!!Xhaka has training today at 10am (Swiss time) for a couple of hours, and then no training until Thursday.Swiss press treating him as an Arsenal player regardless.