OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tanzania One aishi manula,Yondani anaijua kazi yakeManula kacheza kitu kilikuwa kinaelekea kambani
Sent from my TV
Stars bila Simba haiendi,assist Mzamiru na KichuyaHa ha ha simba bwana nyie
Sent from my TV
Unalaana sio bure,Stars 2
Yote Msuva,assist Kichuya na Mzamiru
Banda,Samara,Farid!huyu Farid ana maliza hela zetu tu hakuna kitu aiitwe tenaWachezaji gani wa Tanzania wanaocheza soka la kulipwa wapo kwenye first eleven ya leo ukiachana na msuva?