Updates ya Mvua za Vuli msimu wa 2024

Updates ya Mvua za Vuli msimu wa 2024

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,047
Reaction score
1,832
Habari wakulima kwa Mujibu wa Utabari wa Mamlaka ya hali ya hewa wametoa Taarifa kwamba ile mikoa inayopata msimu wa Mvua mara mbili kwa mwaka mvua zinatarajia kuanza wiki ya nne ya mwezi October, Sasa kama wakulima inatakiwa tupeane update za Mvua kama kuna mikoa tayari imeshaanza ili mikoa mingine wajipange zaidi
Huku Tanga bado jua ni kali na haijulikani Mvua itaanza lini
Vp huko uliko mkulima hali ikoje
 
Habari wakulima kwa Mujibu wa Utabari wa Mamlaka ya hali ya hewa wametoa Taarifa kwamba ile mikoa inayopata msimu wa Mvua mara mbili kwa mwaka mvua zinatarajia kuanza wiki ya nne ya mwezi October, Sasa kama wakulima inatakiwa tupeane update za Mvua kama kuna mikoa tayari imeshaanza ili mikoa mingine wajipange zaidi
Huku Tanga bado jua ni kali na haijulikani Mvua itaanza lini
Vp huko uliko mkulima hali ikoje
Arusha hata ilo jua lenyewe halijaanza
 
DAH TMA HAIMINIKI WALITUAMBIA MWEZI 9 MWISHON SAHV WANASEMA MWEZI WA KUMI MWISHON
 
Habari wakulima kwa Mujibu wa Utabari wa Mamlaka ya hali ya hewa wametoa Taarifa kwamba ile mikoa inayopata msimu wa Mvua mara mbili kwa mwaka mvua zinatarajia kuanza wiki ya nne ya mwezi October, Sasa kama wakulima inatakiwa tupeane update za Mvua kama kuna mikoa tayari imeshaanza ili mikoa mingine wajipange zaidi
Huku Tanga bado jua ni kali na haijulikani Mvua itaanza lini
Vp huko uliko mkulima hali ikoje
Kila kitu kinakauka Tanga
 
Back
Top Bottom