Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,047
- 1,832
Arusha hata ilo jua lenyewe halijaanzaHabari wakulima kwa Mujibu wa Utabari wa Mamlaka ya hali ya hewa wametoa Taarifa kwamba ile mikoa inayopata msimu wa Mvua mara mbili kwa mwaka mvua zinatarajia kuanza wiki ya nne ya mwezi October, Sasa kama wakulima inatakiwa tupeane update za Mvua kama kuna mikoa tayari imeshaanza ili mikoa mingine wajipange zaidi
Huku Tanga bado jua ni kali na haijulikani Mvua itaanza lini
Vp huko uliko mkulima hali ikoje
Aisee TMA kwa sasa wako vizuri sana jaribu kufatilia utabiri wao kwa miaka mitano nyuma ndio uatgundua hiliSijui kwa nini. Huwa siwaamini kabisa hawa TMA.
panda mihogo mkuu..ikifika mwezi wa 6 unavuna.Nasubiri nipande maboga
Geita jana ndo ilinyesha leo ni manyunyu kiasi tu.Mwanza imenyesha sana Leo pia geita
Unasema geita ipi,geita vijijini imenyesha maeneo ya nkome igate,bugalama nkGeita jana ndo ilinyesha leo ni manyunyu kiasi tu.
Nkome leo mawingu tu haijanyesha. geita mjini ndo nazungumzia.pia kakola imenyesha kubwa kiasi chake angalao imekata vumbiUnasema geita ipi,geita vijijini imenyesha maeneo ya nkome igate,bugalama nk
Kila kitu kinakauka TangaHabari wakulima kwa Mujibu wa Utabari wa Mamlaka ya hali ya hewa wametoa Taarifa kwamba ile mikoa inayopata msimu wa Mvua mara mbili kwa mwaka mvua zinatarajia kuanza wiki ya nne ya mwezi October, Sasa kama wakulima inatakiwa tupeane update za Mvua kama kuna mikoa tayari imeshaanza ili mikoa mingine wajipange zaidi
Huku Tanga bado jua ni kali na haijulikani Mvua itaanza lini
Vp huko uliko mkulima hali ikoje
Huna taarifa sahihi mkuu...siku hizi wameimprovu mno!Sijui kwa nini. Huwa siwaamini kabisa hawa TMA.
WapiIpo wastani