Hadi mifugo washazizoea kunusa na kulala chini yake, so siyo deal tena kwa washua labda kina sisi huku pangu pakavu π!.FAW Hongqi
View attachment 2975507
Si ina mota lazima zina ungurumaNiulize swali; hiyo gari inaunguruma kama hizi za mafuta hama inakuwaje?.
EV's zote ni zero noise yaani hapa ni mwendo kama upo chumbani Tu.Hadi mifugo washazizoea kunusa na kulala chini yake, so siyo deal tena kwa washua labda kina sisi huku pangu pakavu π!.
Niulize swali; hiyo gari inaunguruma kama hizi za mafuta hama inakuwaje?.
π₯π₯π₯π₯π₯π₯Chery wafukuzwe aisee.
Chery__wamezindua Exeed E08 ambayo ni Luxury MPV (Multi Purpose Vehicle). Hii chuma ni ya umeme (EV) tunategemea itawaficha wakina Alphard mitaani.
View attachment 2975959View attachment 2975960
Ni kama zile guta za umeme ziko kimya sanaEV's zote ni zero noise yaani hapa ni mwendo kama upo chumbani Tu.
Haya magari utapata mlio kutokea kwenye matairi Tu
Ewaaaa!!!!Ni kama zile guta za umeme ziko kimya sana
Barabara zetu sio rafiki kabisaa na magari ya chiniπ₯π₯π₯π₯π₯π₯
Barabara zijengwe sasa chuma kama hii kuizamisha kwenye tope au kuipandisha upande upande kwenye tuta sio haki kabisa
Watumie tumie nasi tuanze kudaka vyuma hivi used miaka ya mbeleni.Yuanhang wazindua EV Luxury Sedan Y7
Vita ya Mchina kumuangisha Elon Musk inaendelea. Je Model 3 sedan ataweza shindana na chuma kama hii?
View attachment 2975978View attachment 2975979
Hawa Yuanhang mwaka jana walizindua Y6 na sasa kwenye Beijing Auto Show wamwtuletea hii sleeky looking Y7.
View attachment 2975980
Pale kati kwenye cockpit kuna 17 inch infotainment screen na HUD & augmented reality ya 70 inch (sijakosea, inch 70).
Kama una penda music hii gari ina amplifier 19, na seat za nyuma kila mtu ana screen yake na anaweza akacontrol baadhi ya vitu kwenye screen yake mwenyewe.
Kuhusu power bado hawajaweka hewani ila range inakadiliwa kua 800km.
Mchina kama ameweza kuitoa Scania na magari mengine Kwa nchi za Africa na Asia tutegemee kuwatoa tena kwenye magari ya UMEME.Yuanhang wazindua EV Luxury Sedan Y7
Vita ya Mchina kumuangisha Elon Musk inaendelea. Je Model 3 sedan ataweza shindana na chuma kama hii?
View attachment 2975978View attachment 2975979
Hawa Yuanhang mwaka jana walizindua Y6 na sasa kwenye Beijing Auto Show wamwtuletea hii sleeky looking Y7.
View attachment 2975980
Pale kati kwenye cockpit kuna 17 inch infotainment screen na HUD & augmented reality ya 70 inch (sijakosea, inch 70).
Kama una penda music hii gari ina amplifier 19, na seat za nyuma kila mtu ana screen yake na anaweza akacontrol baadhi ya vitu kwenye screen yake mwenyewe.
Kuhusu power bado hawajaweka hewani ila range inakadiliwa kua 800km.
Mbona hawaleti huku?Mchina hii sekta tumemuachia yeye
Yeah, hata bongo nilikuwa nafikiria kitu ka hicho.Robotaxi, atalia. Maana nimeona Wanaleta ride sharing service kama Uber.
Kuna movie Ina itwa back to the future ya Mwaka 90 huko.Acha aisee. 2021 hadi 2024 mabadiriko makubwa sana kwenye sekta ya EV. Imagine kufika 2025.