Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Hii kitu inanikera kinoma an!! Hizi mambo za goli la ugenini zmepitwa na wakatiGeita 2 Wasudani 1, hivyo Geita out kwa goli la ugenini
Geits wameonesha kukosa uzoefu wa mechi za kimataifa!Hii kitu inanikera kinoma an!! Hizi mambo za goli la ugenini zmepitwa na wakati
Ipo nahisi UEFA walishaitoa sijuiIvi ile sheria ya goli la ugenini bado ipo kumbe?
KMKM na hizo za zenj usiwe unazihesabu mashindano ya CAF hawana ubavu nayoGeits wameonesha kukosa uzoefu wa mechi za kimataifa!
Nimeumia sana hawa jamaa kutolewa maprma ivi.
Huku napo hali ni tete KMKM dhidi Al Ahaly Tripol, KMKM kashapigwa 2 bila dak ya 25