OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tayari.Wakuu tupeane ripoti za mshahara wa mwezi katika utawala wa Rais wa 6 awamu ya 5 mama yetu Samia Saluhu.
Ameshalipa? Tujuzane ili wanao dai tuweze kuwavutia waya
Wajeda si mnachukua tar 14 na 24 na 5?Sie wajeda tumeshalipwa tayal
Nyinyi lazima wawalipe wakitaka wasitake, sasa kisanga kiko kwa walimu, madoctor nkSie wajeda tumeshalipwa tayal
Saluti sana kwenu,ndio maana nami natafuta manzi wa kijeda,yeye akiwahishiwa na mie nikicheleweshewa maisha yanasonga mbeleSie wajeda tumeshalipwa tayal
Kubonyeza batini maana yake niniVumilia ndugu mtumishi, msiba huu kwa doto ni mzito zaidi, amefiwa na bosi wake ambaye pia ni mjomba wake. Baada ya mazishi atabonyeza batani.
Kubonyeza batani si ndio kuruhusu mpunga utoke??Kubonyeza batini maana yake nini
Bado haujatoka.Wajeda si mnachukua tar 14 na 24 na 5?
Bado bwana acha kuwarusha maajabu yanategemewa ndani ya siku 3 zijazo kuanzia kesho.Sie wajeda tumeshalipwa tayal
Hata mie nimeshangaa sana,Tupo pamoja sanaBado bwana acha kuwarusha maajabu yanategemewa ndani ya siku 3 zijazo kuanzia kesho.
ww utakuwa mjeda wa jeshi la wafu ila wajeda wenyewe wa Tz washalipwa mshahara wao toka asubuhiBado haujatoka.
[emoji16]ww utakuwa mjeda wa jeshi la wafu ila wajeda wenyewe wa Tz washalipwa mshahara wao toka asubuhi
Ni maoni yako chief umeyatoa na nimeyapuuza.ww utakuwa mjeda wa jeshi la wafu ila wajeda wenyewe wa Tz washalipwa mshahara wao toka asubuhi