Upe jina mwezi huu wa pili tunaomaliza

realsam

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
289
Reaction score
135
Kutokana na matukio mbalimbali, ni jina gani unaweza kuupa huu mwezi wa 2 ambao uko ukingoni.

Karibuni.
 
SAW new season

na tutaendelea ku saw vituko vingi tuuu ..............March will tell
 
Uitwe Daudi bashite!!!!maana ni Mwezi ambao daud bashite a.k.a malaika wa dsm hatousahau maana alipata kiki ya madawa ila mwishowe tukaja ambiwa kuwa na yy vyet vyake feki yan jina la makondakita sio lake pia tukasikia kuwa jamaa ni malinda-less
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…