Nono ze utamu
Member
- Feb 7, 2012
- 34
- 3
Wadau naomba tutete kinaga ubaga,kuna jamaa yangu kanipa no ya binti mmoja na binti nimeisha ongea nae several time ila yet sijamwambia linalo nisibu kwake,na leo kaniomba tukutane na hatujawahi onana je unahisi ni maneno gani yanafaa mi kunena nae pale tutakapokutana?
Wadau naomba tutete kinaga ubaga,kuna jamaa yangu kanipa no ya binti mmoja na binti nimeisha ongea nae several time ila yet sijamwambia linalo nisibu kwake,na leo kaniomba tukutane na hatujawahi onana je unahisi ni maneno gani yanafaa mi kunena nae pale tutakapokutana?
Wadau naomba tutete kinaga ubaga,kuna jamaa yangu kanipa no ya binti mmoja na binti nimeisha ongea nae several time ila yet sijamwambia linalo nisibu kwake,na leo kaniomba tukutane na hatujawahi onana je unahisi ni maneno gani yanafaa mi kunena nae pale tutakapokutana?
yale yooote uliyokua unamwambia kwenye simu...leo mmwagie live...ukishindwa una mapungufu....
tahadhari:anaweza akawa hana mvuto ukakosa pozi...jipange kiivyo pia!
Hehhheheeh hilo nalo neno mvuto muhimu jamn loohyale yooote uliyokua unamwambia kwenye simu...leo mmwagie live...ukishindwa una mapungufu....
tahadhari:anaweza akawa hana mvuto ukakosa pozi...jipange kiivyo pia!
Wadau naomba tutete kinaga ubaga,kuna jamaa yangu kanipa no ya binti mmoja na binti nimeisha ongea nae several time ila yet sijamwambia linalo nisibu kwake,na leo kaniomba tukutane na hatujawahi onana je unahisi ni maneno gani yanafaa mi kunena nae pale tutakapokutana?
Wadau naomba tutete kinaga ubaga,kuna jamaa yangu kanipa no ya binti mmoja na binti nimeisha ongea nae several time ila yet sijamwambia linalo nisibu kwake,na leo kaniomba tukutane na hatujawahi onana je unahisi ni maneno gani yanafaa mi kunena nae pale tutakapokutana?
Wadau naomba tutete kinaga ubaga,kuna jamaa yangu kanipa no ya binti mmoja na binti nimeisha ongea nae several time ila yet sijamwambia linalo nisibu kwake,na leo kaniomba tukutane na hatujawahi onana je unahisi ni maneno gani yanafaa mi kunena nae pale tutakapokutana?
Tehe, tehe....habari ya siku ya Muungano daymmmh mwenzangu mi hiyo inatokeaga mihuwa sirembi when u meet u wit me napiga story bt kama ulikuwa unajishaua ktk simu nd utaumbuka n tatizo mnapenda tongoza tongoza saana yan hamna subra wala kutaka urafiki haya ze utamu nenda kamwage swaga kwa mrembo
Mwambie "tuwahiiiii...!", maongezi mengine baadae.Wadau naomba tutete kinaga ubaga,kuna jamaa yangu kanipa no ya binti mmoja na binti nimeisha ongea nae several time ila yet sijamwambia linalo nisibu kwake,na leo kaniomba tukutane na hatujawahi onana je unahisi ni maneno gani yanafaa mi kunena nae pale tutakapokutana?
Aisee!!!! Unatishaok dodondoo kidogo... kwanza BE URSELF (kuwa wewe kama wewe) pili dont talk everything about u,, muache mdada aongee we msikilize,, akiongea mwangalie machoni,, ikitokea hayupo as HOT as ulivyofikiri usimwoneshe just smile and be nice, na kama mmeshaongea sana kwa simu maybe ushajua vitu anavyovipenda so do them,,, mimi napendaga sana blind dates... ila sio zote they turn out as i hope... so watever happens just enjoy urself
hiyo namba ya simu ulipewa kwa lazima au uliitaka mwenyewe? na kama uliitaka mwenyewe ulikuwa na malengo gani?
binti nimeisha ongea nae several time ila yet sijamwambia linalo nisibu kwake
leo kaniomba tukutane na hatujawahi onana je unahisi ni maneno gani yanafaa mi kunena nae pale tutakapokutana?