Upekuzi wa kuvuliwa nguo mgodi wa Tanzanite wakomeshwa

Upekuzi wa kuvuliwa nguo mgodi wa Tanzanite wakomeshwa

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Diwani wa Kata ya Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Salome Mnyawi amesema hivi sasa wachimbaji na wafanyabiashara wa madini ya tanzanite wanapekuliwa kwa staha tofauti na awali walipokuwa wakivuliwa nguo, kabla ya Wabunge kupinga upekuzi wa aina hiyo.

Mnyawi ameyasema hayo kwenye kikao cha Baraza la Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) wilayani hapa.

Mnyawi amesema awali wanawake na wanaume walikuwa wanavuliwa nguo ili kupekuliwa wanapopita kwenye lango, ila baada ya wabunge kukemea hilo wanapekuliwa kwa staha.

"Tunawapongeza wabunge kwa kusimama kidete kukemea hilo kwani halikuwa jambo jema kupekua kwa kudhalilisha ila hivi sasa upekuzi ni wa stara," amesema.
 
Wanyonge walikuwa wakiingizwa vidole kwenye miku... na papaa kwa amri
za rais mwizi, mpinga ufisadi aliyegeuka jizi kuu la 1.5 tri, jitu lililogawa nyumba za serikali kwa mahawara.

Yaan huu unyama hata wakoloni hawakuufanya
Viva Samia.....
 
Je Bado madini yanatoroshwa au nguo tu hazifuliwi ila madini Kama ktawa
 
Wanyonge walikuwa wakiingizwa vidole kwenye miku... na papaa kwa amri
za rais mwizi, mpinga ufisadi aliyegeuka jizi kuu la 1.5 tri, jitu lililogawa nyumba za serikali kwa mahawara.

Yaan huu unyama hata wakoloni hawakuufanya
Viva Samia.....
Hasira za nini kama hukuwa umefoji vyeti?
 
Hasira za nini kama hukuwa umefoji vyeti?
Ndio nilifoji vyeti na nikiwa mererani kama mama ntilie nikawa nachokonolewa mkun..na papa kwa amri za huyo msema kiongozi wa malaika ......
Too good to die.....
 
Ndio nilifoji vyeti na nikiwa mererani kama mama ntilie nikawa nachokonolewa mkun..na papa kwa amri za huyo msema kiongozi wa malaika ......
Too good to die.....
Unauhakika na Upuuzi unaouandika?
 
Je Bado madini yanatoroshwa au nguo tu hazifuliwi ila madini Kama ktawa
Lile shetwaan magu lilipenda kutudhalilisha sana...
Je alikosha vifaa vya kisayansi badala ya kuchokonoa maungo Siri?
 
Ndio nilifoji vyeti na nikiwa mererani kama mama ntilie nikawa nachokonolewa mkun..na papa kwa amri za huyo msema kiongozi wa malaika ......
Too good to die.....

Will you live forever?

Kuwa mpole sote tutarudi mavumbini
 
Ndio nilifoji vyeti na nikiwa mererani kama mama ntilie nikawa nachokonolewa mkun..na papa kwa amri za huyo msema kiongozi wa malaika ......
Too good to die.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah
 
Back
Top Bottom