Elections 2010 Upelekwaji wa jeshi kubwa zanzibar ni matayarisho ya mauwaji ili kuwatuliza wa Bara?

Elections 2010 Upelekwaji wa jeshi kubwa zanzibar ni matayarisho ya mauwaji ili kuwatuliza wa Bara?

Sonara

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2008
Posts
726
Reaction score
70
Unayangaliyaje mazingira yanayotayarishwa ?inasemekana kuna mbinu za mauwaji zimepangwa zifanyike ili kuzuwia Bara wasifanye machafuko yatakapotolewa matokeo ya Uchaguzi.
A%20S%20465.gif


IMG_2361.jpg
 
Hawa Al-Shabaab wanachekesha. Hivi hawawezi kuona contradiction kwenye vichwa vya habari vya gazeti lao. Serikali/CCM wanapeleka majeshi Zanzibar hata baada ya muafaka na maridhiano ya kuwa na serikali ya umoja. Kwa ajili gani? Sasa hapa atakayefanya nchi iwe Rwanda ni maaskofu au ni CCM na serikali yake? CCM wameishajiapiza kwamba ushindi ni lazima kwa gharama yoyote ile. Je, kwa maandalizi haya uhai wa waZanzibari si moja ya hizo gharama?
 
Jingine lililiokuwa limeandika utumbo ni lile linaloitwa Al-Nuur, mi nashangaa sana mbona magazeti ya Wakristo hayaandiki vitu vya namna hii? Kwani kosa la Kakobe ni lipi? Mbona hakutaja mtu, yeye aliuliza na hotuba yake niliichuja kwa umakini kwa sikio la kusikia sio la kukebehi.

Au ndo Jamaa kaona silaha yake ya mwisho ni kukimbilia DINI.....nashawishika kuamini hivyo
 
Back
Top Bottom