#COVID19 Upendeleo chanjo ya COVID-19 kwa makundi

#COVID19 Upendeleo chanjo ya COVID-19 kwa makundi

Super Sub Steve

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
17,404
Reaction score
10,900
Toka zoezi la kupata chanjo lizinduliwe rasmi kuliwekwa vipaumbele kwa makundi matatu.
  • Waliofika miaka 50 na zaidi
  • Wahudumu wa afya
  • Wenye magonjwa ya Mara kwa mara
Kwanini wasingesema Kila mtu ambaye yupo tayari kupata chanjo apate?

Halafu Kuna watu hawajafika 50, si wahudumu wa afya na huenda hawana magonjwa ya Mara kwa mara wanapata chanjo, kwa mfano
Shaka (Wa CCM) hajafikisha 50 na Wala sio mhudumu wa afya lakini kachanjwa.

Jokate Mwegelo, na wengine.

Sasa sisi wengine tukienda kuchoma mbona tunakataliwa. Tuliopo tayari wangeturuhusu tuchome kwa vile Ni hiari na imani chanjo zilizopo zingetufaa.

My Take:
Kitendo Cha kutuzuia wengine kuchoma chanjo napata wasiwasi huenda akina Gwajima akina Polepole wanatumika na Serikali ili kuficha aibu ya serikali kuishiwa chanjo mapema.
 
Toka zoezi la kupata chanjo lizinduliwe rasmi kuliwekwa vipaumbele kwa makundi matatu.
  • Waliofika miaka 50 na zaidi
  • Wahudumu wa afya
  • Wenye magonjwa ya Mara kwa mara
Kwanini wasingesema Kila mtu ambaye yupo tayari kupata chanjo apate?

Halafu Kuna watu hawajafika 50, si wahudumu wa afya na huenda hawana magonjwa ya Mara kwa mara wanapata chanjo, kwa mfano
Shaka (Wa CCM) hajafikisha 50 na Wala sio mhudumu wa afya lakini kachanjwa.

Jokate Mwegelo, na wengine.

Sasa sisi wengine tukienda kuchoma mbona tunakataliwa. Tuliopo tayari wangeturuhusu tuchome kwa vile Ni hiari na imani chanjo zilizopo zingetufaa.

My Take:
Kitendo Cha kutuzuia wengine kuchoma chanjo napata wasiwasi huenda akina Gwajima akina Polepole wanatumika na Serikali ili kuficha aibu ya serikali kuishiwa chanjo mapema.
Watanzania kwa kulalamika!
Umeambiwa na viongozi wanatakiwa kuchanja ili kuweka hamasa
 
Inasemekana watu wenye umri mkubwa hawaonyeshi sana side effects za chanjo kama vijana.
 
Wewe uko wapi mbona nasikia watu wanachoma kwa uhuru tu bila changamoto yoyote.
Nipo Dar nimeenda leo kituo Cha afya Magomeni nimekataliwa pia kuna kituo kingine niliongea na mmoja wa wahudumu wa pale kabla ya kwenda akaniambia ukija kwetu hutachoma kwa vile hujafikisha 50 ndo nikaamua kubook Magomeni.Kufika Magomeni napewa jibu lilelile kuwa kwa Sasa Sina sifa ya kupata chanjo
 
Nipo Dar nimeenda leo kituo Cha afya Magomeni nimekataliwa pia kuna kituo kingine niliongea na mmoja wa wahudumu wa pale kabla ya kwenda akaniambia ukija kwetu hutachoma kwa vile hujafikisha 50 ndo nikaamua kubook Magomeni.Kufika Magomeni napewa jibu lilelile kuwa kwa Sasa Sina sifa ya kupata chanjo
Njoo Bagamoyo
 
Viongozi wanatumia nguvu kubwa kuhamasisha watu wasiohamasika na wakati huohuo wanatuzuia watu tuliokubali pasipo kuhamasishwa,Kama watu hawataki waachane nao waturuhusu tulio tayari tuchome
Subiri kaka kuna zigo linakuja wewe haupo kwenye hatari ya kuambukizwa,acha 50+ wamalizike na makundi maalum
 
Nipo Dar nimeenda leo kituo Cha afya Magomeni nimekataliwa pia kuna kituo kingine niliongea na mmoja wa wahudumu wa pale kabla ya kwenda akaniambia ukija kwetu hutachoma kwa vile hujafikisha 50 ndo nikaamua kubook Magomeni.Kufika Magomeni napewa jibu lilelile kuwa kwa Sasa Sina sifa ya kupata chanjo
Hapa mjini ni akili tuu. Tumia akili yako hapo
 
Back
Top Bottom