Upendeleo kwenye jambo lolote, maudhui na muktadha wowote si afya

Upendeleo kwenye jambo lolote, maudhui na muktadha wowote si afya

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Wasalaam JF

Niseme ya kwamba upendeleo ukizidi si afya iwe kwa namna yoyote ile, mizania iwe sawa iwe kwa wanao wapendeza na wasio wapendeza nyie miungu wa dunia wenye vyombo na mali zenu.

Pingu hazitawashibisha fairness iwe ndio msingi wa kazi yenu.

Wadiz
 
Back
Top Bottom