kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Ukiwa mdadisi na mwenye msimamo wa kisiasa wa kutetea maslahi ya umma utaona mwelekeo usiyoridhisha kuhusu teuzi za mama.
Utaona leo kina sabaya, Ally Hapi, na Makonda wote mama kawatupa nje. Tena sabaya akataka kumfunga kwa kesi ya kubumba. Badala yake wale waliyokua wamefumwa wakionesha chuki na kumpinga mtetezi wa umma JPM na kisha yeye kuwatema ndio wako kwenye usukani.
Na hata pale wamebainika kukoroga kazi kwa kuweka maslahi yao kwenye shughuli za umma bado anawahifadhi huku akiendelea kutowapa uteuzi vijana machachari watetezi wa umma kina makonda na sabaya na akiwa amemtema Ally Hapi huku akionekana kutetea maslahi ya umma vikali.
Cha ajabu Maharage rafiki yake januari mama anahangaika kuhakikisha anapewa shirika kubwa la umma baada ya kukoroga kuongoza tanesco huku ikiwa ameondolewa mtu mwenye weledi mkubwa halafu anaweka mirija yake anaharibu. La ajabu anataka kupewa shirika lingine kubwa TTCL watu wanapiga kelele mama mwenyewe anasema amegundua maharage ana biashara na ttcl japo haisemi. Kisha maharage anawekwa posta huku CEO wa posta mwenye record yake nzuri anawekwa benchi.
Huu mwenendo wa wapigaji kuwa na nguvu kuwekwa kwenye taasisi kubwa za umma lazima ukome. Ukiona jinsi watu matajiri wala hawana ujuzi ila uzoefu wa upigaji wanawekwa kwenye bodi za wakurugenzi inastaajabisha.
Ingefaa bodi za wakurugenzi na u ceo wa mashirika makubwa ya kama tanesco, TRC, TTCL na mengine nafasi na sifa zinazotakiwa zitangaziwe watanzania wote kisha majina ya wenye kufuzu ndio mamlaka ya uteuzi zipelekwe kwa vetting kabla ya uteuzi.
Utaona leo kina sabaya, Ally Hapi, na Makonda wote mama kawatupa nje. Tena sabaya akataka kumfunga kwa kesi ya kubumba. Badala yake wale waliyokua wamefumwa wakionesha chuki na kumpinga mtetezi wa umma JPM na kisha yeye kuwatema ndio wako kwenye usukani.
Na hata pale wamebainika kukoroga kazi kwa kuweka maslahi yao kwenye shughuli za umma bado anawahifadhi huku akiendelea kutowapa uteuzi vijana machachari watetezi wa umma kina makonda na sabaya na akiwa amemtema Ally Hapi huku akionekana kutetea maslahi ya umma vikali.
Cha ajabu Maharage rafiki yake januari mama anahangaika kuhakikisha anapewa shirika kubwa la umma baada ya kukoroga kuongoza tanesco huku ikiwa ameondolewa mtu mwenye weledi mkubwa halafu anaweka mirija yake anaharibu. La ajabu anataka kupewa shirika lingine kubwa TTCL watu wanapiga kelele mama mwenyewe anasema amegundua maharage ana biashara na ttcl japo haisemi. Kisha maharage anawekwa posta huku CEO wa posta mwenye record yake nzuri anawekwa benchi.
Huu mwenendo wa wapigaji kuwa na nguvu kuwekwa kwenye taasisi kubwa za umma lazima ukome. Ukiona jinsi watu matajiri wala hawana ujuzi ila uzoefu wa upigaji wanawekwa kwenye bodi za wakurugenzi inastaajabisha.
Ingefaa bodi za wakurugenzi na u ceo wa mashirika makubwa ya kama tanesco, TRC, TTCL na mengine nafasi na sifa zinazotakiwa zitangaziwe watanzania wote kisha majina ya wenye kufuzu ndio mamlaka ya uteuzi zipelekwe kwa vetting kabla ya uteuzi.