Upendo amri iliyo kuu - Na alichowahi kusema hayati Benjamini Mkapa

Upendo amri iliyo kuu - Na alichowahi kusema hayati Benjamini Mkapa

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Yoyote yule unayemuona pamoja na mazuri na mapungufu yake ni zawadi yake mungu kwako.

Muwe na jumapili tulivu wapendwa



😍🇹🇿❤Tupendane👍✌🙏
 
Dada nimeona umependekezwa kuwa mmoja wa mods ya JF ire yenyewe ya CCM.

Hizo swala si haba kwako dada.

Au nasema uongo ndugu zangu?

JF ipo moja tuu inayowabeba wote chama tawala na vyama pinzani, raia wa Tanzania na wasio raia, imani zote, kabila zote, rangi zote na maifa yote. Kinachotuweka pamoja ni kupata habari, elimu na kuelimishana, kufurahi pamoja👍✌

Asante na wewe kwa kuwa zawadi kwangu brazaj longlive JF🙏
 
JF ipo moja tuu inayowabeba wote chama tawala na vyama pinzani, raia wa Tanzania na wasio raia, imani zote, kabila zote, rangi zote na maifa yote. Kinachotuweka pamoja ni kupata habari, elimu na kuelimishana, kufurahi pamoja👍✌

Asante na wewe kwa kuwa zawadi kwangu brazaj longlive JF🙏

Asante dadaangu ya nini kuombeana kufa?

Kwa kweri mama D wewe si haba. Siyo siri hauko kama ware wengine. Kwa kweri long live bi dada na wale wenzio wachache tokea pande za huko ambao mngali nao ujasiri wa kukemea ikibidi.

Ama kwa hakika pamoja na yote, wewe bado ni wa kupigiwa mfano.
 
Asante dadaangu ya nini kuombeana kufa?

Kwa kweri mama D wewe si haba. Siyo siri hauko kama ware wengine. Kwa kweri long live bi dada na wale wenzio wachache tokea pande za huko ambao mngalinao ujasiri wa kukemea ikibidi.

Ama kwa hakika pamoja na yote, wewe bado ni wa kupigiwa mfano.
❤🙏
 
Alitutukana huyu....

Wanasema tuwe tayari kusamehe x7x70.

Hata huyu akili ikimrejea,

IMG_20210218_173848_589.jpg


Mtanzania mbona ni mwenye kusamehe?

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom