Upendo na chuki ni vitu viwili vilivyo karibu sanaee??

Tasia I

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2010
Posts
1,223
Reaction score
193
Poleni mabii na mababu, najua time hz watu mmechokaa!!
me ni kama nimegundua ila nisaidieni kuhakiki hii ki2, hivi jamani upendo a chuki vinatenganishwa na lea ndogo sanae?
manake nimeshuhudia upendo wa hali ya juu ambao kwa sasa umegeuka bonge la chuki.Watu haa kuonana hawataki.
Nazungumzia romantic love hapa, sio Agape love.
 
Ndio...there is a very thin line between love and hate!
 
Ndio unajua mtu anapompenda mwingine anakuwa anatarajia kupendwa kama vile yeye anavyopenda so inapotokea kuwa tofauti na matarajio ikuwa ni rahisi sana kujengeka chuki kwa haraka sana
 
chuki uja baada ya pendo kufa ni baada ya kujawa na wivu kwa nin uachwe au utendwe
 
aisee!! i wish haya mambo yangekua decisional.yani mtu uamue kupenda au kutokupenda, ingekua poa sana.
 

Mi naona tatizo hapa watu wanafikiri lazima kinyume cha KUPENDA kiwe KUCHUKIA, mi naona tungefanya kinyume cha KUPENDA ni KUTOPENDA basi machuki yasiyo na maana baada ya mahusiano mazuri yasingekuwepo, maana naamini kabisa unaweza usipende kitu bila kukichukia..
 
Mfano halisi ni pale jambo fulani linapokuchosha. Ili lisikusumbue akili unalilook down unalidharau unaliona zaidi yakawaida hapo ndipo roho yakupenda inatoka na ile yakutokupenda inaingia. Kwahiyo hali ya chuki inakuwa na kipimo sawa na upendo ulioutoa ili ujiepushie mattention juu ya huyo uliyemdump alafu unamforget.
 
Mh hate and love inaweza kwenda pamoja kweli!nafikiri huu ni msemo tu inapokuja kwenye ukweli ni vitu viwili tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…