Pre GE2025 Upendo Peneza ahamia CCM, awananga CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unamlinganisha na nani?
Tafuta watu waliopita hapo wakwambie sebuleni kulivyo!
Wahenga wanasema Jeneza kwa nje lina chokaa na tiles ndani kuna mifupa inanuka.
Mbona ni mrembo tu,
Vipi mkuu ulishapita hapo ukaona kuta zimelegea?

Au yale yale ya sizitaki mbichi hizi?
 
Njaa haijawahi kumwacha MTU salama! Kama wanamume tu, wanashika adabu, hawa mabinti, wasingeweza pona,
Sio jambo la ajabu, aliondoka Lowasa, sumaye, then wakarudi tena huko huko,
Huyu binti, ndio kapotea jumla,anatibu njaa ya Leo, Ila, anakuwa ndumila kuwili,
You can't just wake up one day, and change from "democratic to Republican! How, do you change an ideology! Unless you were clook from a word go! Fucking pathetic
 
Imepenya hiyo sio Kwa povu hili 🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…