johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Aliyekuwa mbunge wa viti Maalum Upendo Peneza amesema katika kushughulikia ripoti ya CAG hana Imani na Mwenyekiti wa LAAC na yule wa PAC kwa sababu wako bungeni kinyume cha Katiba.
Peneza amesema Mdee hawezi kuikagua Serikal inayomfanya awepo bungeni hadi leo.
Source: Star tv The Big Agenda.
Peneza amesema Mdee hawezi kuikagua Serikal inayomfanya awepo bungeni hadi leo.
Source: Star tv The Big Agenda.