johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mdee hawezi hata siku moja kuung'ata mkono unaomlisha.Peneza amesema Mdee hawezi kuikagua Serikal inayomfanya awepo bungeni hadi leo
Hapo ni sawa na nyoka aamue kumeza mkia wake mwenyewe π€Mdee hawezi hata siku moja kuung'ata mkono unaomlisha.
kweli kabisa. bora hata angekuwa MpinaAliyekuwa mbunge wa viti Maalum Upendo Peneza amesema katika kushughulikia ripoti ya CAG hana Imani na Mwenyekiti wa LAAC na yule wa PAC kwa sababu wako bungeni kinyume cha Katiba
Peneza amesema Mdee hawezi kuikagua Serikal inayomfanya awepo bungeni hadi leo
Source: Star tv The Big Agenda
πππHizo ndiyo siasa za Tanzania, hazipatikani popote pale katika Dunia hii
Aliyekuwa mbunge wa viti Maalum Upendo Peneza amesema katika kushughulikia ripoti ya CAG hana Imani na Mwenyekiti wa LAAC na yule wa PAC kwa sababu wako bungeni kinyume cha Katiba
Peneza amesema Mdee hawezi kuikagua Serikal inayomfanya awepo bungeni hadi leo
Source: Star tv The Big Agenda
Mdee hawezi hata siku moja kuung'ata mkono unaomlisha.
A lot of senseAliyekuwa mbunge wa viti Maalum Upendo Peneza amesema katika kushughulikia ripoti ya CAG hana Imani na Mwenyekiti wa LAAC na yule wa PAC kwa sababu wako bungeni kinyume cha Katiba
Peneza amesema Mdee hawezi kuikagua Serikal inayomfanya awepo bungeni hadi leo
Source: Star tv The Big Agenda
Hapo ni sawa na nyoka aamue kumeza mkia wake mwenyewe π€
Wewe johnthebaptist unahusika katika upuuzi huu maana ulimshabikia Jiwe na ukatili wake, kuvunja katiba na sheria na maovu yote. Au wewe ndiye yule mdaiwa na Membe π π π π π π π³ π³ πππππππAliyekuwa mbunge wa viti Maalum Upendo Peneza amesema katika kushughulikia ripoti ya CAG hana Imani na Mwenyekiti wa LAAC na yule wa PAC kwa sababu wako bungeni kinyume cha Katiba
Peneza amesema Mdee hawezi kuikagua Serikal inayomfanya awepo bungeni hadi leo
Source: Star tv The Big Agenda
Unadhani Upendo angealikwa na Jiwe awe Mbunge na akina Halima Mdee angetaa?πππWewe johnthebaptist unahusika katika upuuzi huu maana ulimshabikia Jiwe na ukatili wake, kuvunja katiba na sheria na maovu yote. Au wewe ndiye yule mdaiwa na Membe π π π π π π π³ π³ πππππππ
Unadhani Upendo angealikwa na Jiwe awe Mbunge na akina Halima Mdee angetaa?πππ
She is correct 99.9%