Upendo usivyo eleweka

Upendo usivyo eleweka

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Je ni mara ngapi unahitaji mtu akupende? Je ni mara ngapi unasema nakupenda? ni mara ngapi unasema tupendane? au umewahi kusikia kauli hii "Upendo"

Kauli hii ina maana gani? na ulio wasikia wanaitamka wame maanisha nini? ni wangapi mmeitwa na hii kauli? na wangapi mmeteuliwa na hii kauli? ni wangapi mpaka sasa mnaishi katika hii kauli?

Washairi,watunzi wa nyimbo na vitabu, Viongozi wa dini na hata wanafalsafa wanaongelea kuhusu upendo, lakini unawaelewa wanacho kielezea?

Kwani upendo maana yake nini? unaposema upendo wa Mungu ni mkuu una maanisha nini? Ikiwa alikupenda vipi uwapo wa Shetani.Ni kuwa anahitaji kupima upendo wako kwake?

Ni mara ngapi upendo umekufanya uhaidi viti ambavyo huwezi kuvitimiza, kwahiyo ili uupate upendo wa Eros ni lazima udanganye. Kwani hujawahi kumwambia mtu unampenda na utamuoa au kuolewa naye

Hivi kuchukua au kutoa ndiyo upendo? unaamini kila upendo hauhitaji masharti? unaamini kila upendo hauna sababu? au umeamua kudanganya hauna sababu ili upate sababu ya kuficha sababu.Wewe hujawahi kumwambia binadamu mwenzio hujui umempendea nini?

Eti hivi bila chuki ungeujua upendo? kivipi ungeujua isingekuwapo chuki? Unaweza kumpa binadamu mwenzio upendo bila sharti lolote lile " Ninakupa upendo wangu lakini usiniumize" kwanini akuumize wakati anakupenda au huamini yakuwa anakupenda kwakua hujui imani ni nini? Kama una nipenda fanya hivi? upendo unahitaji hivyo

Hivi kuua ni upendo? kuna uuaji unafanywa kwa jina la Mungu je huyo Mungu ameruhusu muuane? Lakini kwani kifo nani kakiumba? Ikiwa ni Mungu kwanini akiumbe? Ikiwa kaumba kama njia ya kukutana naye,kwanini sasa mwenzenu akifa mnalia? au aliye kiumba alikosea kukiumba

Lakini ni vipi ungejijua yakuwa upo hai bila kifo?kwani kinacho fanya wewe uwe mwanaume si kwasababu yupo Mwanamke huu nao ni upendo kwakua unahitaji kitu ili ufahamu kuhusu kitu.

Inawezekana upendo upo hapa Kutoa na Kupokea . Lakini ni ipi maana nzuri ya upendo ambayo itaufaa ulimwengu na kuufanya uchipue kisahihi
 
😂 😂 😂
Lucas Mwashambwa kumpenda ephen_ sijui ni kwa vigezo vipi? Maana ephen_ anataka kuwa Platnum Member ili athibitishe kama anapendwa na Chawa Mwashambwa 😂😂😂
Hebu ephen_ kuja hapa utoe tafsiri ya upendo
upendo wa kweli ndio kama wa Lucas Mwashambwa kwa mama. Huwa anabubujikwa sana na machozi kwa ajili yake.
Kuhusu huyo mwingine mambo yao nawaachia wenyewe.
 
😂 😂 😂
Lucas Mwashambwa kumpenda ephen_ sijui ni kwa vigezo vipi? Maana ephen_ anataka kuwa Platnum Member ili athibitishe kama anapendwa na Chawa Mwashambwa 😂😂😂
Hebu ephen_ kuja hapa utoe tafsiri ya upendo
Hata mimi sijui maana sahihi ya Upendo
Ila kutokana na uzoefu wangu nimeona kuna upendo wa aina mbili
1. Upendo unaokuja na sababu
2. Upendo unaokuja bila sababu

Kuhusu mimi na Lucas mambo yetu mtuachie sisi wenyewe..!🤸
 
Hata mimi sijui maana sahihi ya Upendo
Ila kutokana na uzoefu wangu nimeona kuna upendo wa aina mbili
1. Upendo unaokuja na sababu
2. Upendo unaokuja bila sababu

Kuhusu mimi na Lucas mambo yetu mtuachie sisi wenyewe..!🤸
Kwahiyo na Lucas ni huo upendo wa bila sababu? 😂 😂 😂
 
😂 😂 😂
Upendo usio kuwa na sababu huisha na kuyeyuka bila sababu,
 
Kwa sababu moyo wangu umempenda sana mpaka nimekuwa kipofu wa macho kwa kuona ni ephen pekee ndiye aliyezaliwa kama binti hapa Duniani
😁😁😁😁
Umeongea Politikisi tupu hapa sijakuelewa kabisa
 
Narudia tena
'Mambo yetu mtuachie mwenyewe'
Hivi mshawahi kukutana physically wewe na Lucas Mwashambwa ? Msije mkabadili IDs zenu humu.

Siku mnakutana unaweza kukuta ephen_ ana sura kama mwanaume, mfupi, magulu baja na kabakisha jino moja tu kinywani. Na Lucas ana sura kama majeruhi wa moto, cha pombe, ana mapunye kichwa kuzima, meno yote anayo lkn yana rangi ya karoti.
 
Hivi mshawahi kukutana physically wewe na Lucas Mwashambwa ? Msije mkabadili IDs zenu humu.

Siku mnakutana unaweza kukuta ephen_ ana sura kama mwanaume, mfupi, magulu baja na kabakisha jino moja tu kinywani. Na Lucas ana sura kama majeruhi moto, cha pombe, ana mapunye kichwa kuzima, meno yote anayo lkn yana rangi ya karoti.
Upendo hutengeneza daraja lakini je hisia zao ziko kamili? 😂 😂 😂
Macho yasije yakasababisha daraja lilotengenezwa na hisia kuvunjika maana haya macho yana uadui sana
 
Back
Top Bottom