sababu ni 1 tu kwamba KWANINI ULIMWACHA MKEO UKAMFATA MWANAMKE MWINGINE,MKAFANYA MAPENZI MPAKA MKAPATA MTOTO,hii ndo chanzo cha manyanyaso kwa watoto wa kambo walozaliwa wakati tayari unamke na watoto,Mara nyingi wanawake hawanyanyasi watoto wa kambo waliowakuta wamezaliwa kabla wao hawajaolewa.