Upeo wa vipngozi wa yanga na simba

baba aura

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2023
Posts
254
Reaction score
393
Habar wakuu,nimeona tuchanganue upeo wa viongozi wetu wa klabu ya simba na yanga ili tupate mwangaza kidogo ni uongozi wa klabu gani upo makini

Kama unavyojua ,Anza kama hivi;

wakati raisi wa yanga yupo south afrika kufuatilia baadhi ya wachezaji wa kuwasajili dirisha dogo lakini viongozi wa simba wapo busy kunyoosheana mikono kisa kufungwa tano na mtani
 
Tuanxe na mashabki, ni timu gani ina mashabiki mbumbumbu. Critical thinking analyses the audience
 
Na kuzengea supu yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…