Upepo umegeuka, King Muswat wa Eswatini aikimbia nchi

Upepo umegeuka, King Muswat wa Eswatini aikimbia nchi

Criterion

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2008
Posts
11,797
Reaction score
11,891
Tuna mambo ya kujifunza kwa yanayotokea duniani kwa namna nyingi. King Muswati, wa Eswatini, amekimbia nchi baada ya kuona nguvu ya wanaodai demokrasia imeongezeka. Lakini tukumbuke, Waswatzi, wamekuwa chini ya uongozi wa kitemi, unaompa mtemi wao nguvu kubwa isiyohojiwa kwa mila na mapokeo yanaolindwa na imani za mizimu. Ukuta huo uliambatana na masuala kadhaa yanayovunja haki za binadamu, kama kukosa elimu sahihi y akuwasaidia katika ulimwengu huu wa utandawazi, wanawake kufanyika mashine za ngono, n.k. Somo ninalolipata mimi ni kwamba:-

1) Cheo ni dhamana. Ni vizuri kutenda mema na haki kwa cheo chako kwa maslahi mazuri ya waliokupa hiyo nafasi, pasipo hila wala ubaguzi. Watu wana haki sawa.

2) Kuna faida katika kuendeleza binadamu unaowaongoza ki elimu na maarifa ili upate watu sahihi wa kukusaidia kusimamia na kuendesha nchi. Wakiwa na elimu sahihi watapanga na kuchagua mwelekeo kwa umakini, na hawatadanganyika na mtaheshimiana. Maana ni afadhali uondoke madarakani kwa maamuzi ya kitaalam ya unaowaongoza, kuliko vurugu za watu wajinga.

3. Ujinga ni mtaji wa muda tu, mwisho wake utalemewa na hutapata wasaidizi.

4. Ngonjera na sifa kutoka kwa watu wasioelewa, ni kujilisha na upepo kwa sababu wanaweza kuimba ngonjera vile vile kinyume chako bila kutumia akili pale upepo ukigeuka.

5. Tujifunze sote, viongozi na waongozwaji kumaliza mambo yetu kwa amani na majadiliano na si ubabe wala vurugu. Na hili tu litwezekana kama serikali zetu zitapunguza kutumia ujinga wa watu kama kinga dhidi ya kukosolewa kitaalam.

6. Kujimilikisha raslimali za taifa na kuwaacha wanachi wajinga, maskini bila fursa za uchumi, ni bomu.

Ongeza na yak kwako ili tupeane maarifa.




 
Tuna mambo ya kujifunza kwa yanayotokea duniani kwa namna nyingi. King Muswati, wa Eswatini, amekimbia nchi baada ya kuona nguvu ya wanaodai demokrasia imeongezeka. Lakini tukumbuke, Waswatzi, wamekuwa chini ya uongozi wa kitemi, unaompa mtemi wao nguvu kubwa isiyohojiwa kwa mila na mapokeo yanaolindwa na imani za mizimu. Ukuta huo uliambatana na masuala kadhaa yanayovunja haki za binadamu, kama kukosa elimu sahihi y akuwasaidia katika ulimwengu huu wa utandawazi, wanawake kufanyika mashine za ngono, n.k. Somo ninalolipata mimi ni kwamba:-

1) Cheo ni dhamana. Ni vizuri kutenda mema na haki kwa cheo chako kwa maslahi mazuri ya waliokupa hiyo nafasi, pasipo hila wala ubaguzi. Watu wana haki sawa.

2) Kuna faida katika kuendeleza binadamu unaowaongoza ki elimu na maarifa ili upate watu sahihi wa kukusaidia kusimamia na kuendesha nchi. Wakiwa na elimu sahihi watapanga na kuchagua mwelekeo kwa umakini, na hawatadanganyika na mtaheshimiana. Maana ni afadhali uondoke madarakani kwa maamuzi ya kitaalam ya unaowaongoza, kuliko vurugu za watu wajinga.

3. Ujinga ni mtaji wa muda tu, mwisho wake utalemewa na hutapata wasaidizi.

4. Ngonjera na sifa kutoka kwa watu wasioelewa, ni kujilisha na upepo kwa sababu wanaweza kuimba ngonjera vile vile kinyume chako bila kutumia akili pale upepo ukigeuka.

5. Tujifunze sote, viongozi na waongozwaji kumaliza mambo yetu kwa amani na majadiliano na si ubabe wala vurugu. Na hili tu litwezekana kama serikali zetu zitapunguza kutumia ujinga wa watu kama kinga dhidi ya kukosolewa kitaalam.

Ongeza na yak kwako ili tupeane maarifa.

Kuwafanya wanawake ni machine za ngono....huu ni utamaduni wa Watu wengi sana sio hao tu....Bali hata mataifa ya magharibi na baadhi ya mataifa mengine hususan Africa soko lililojaa wajinga wengi
 
Kuwafanya wanawake ni machine za ngono....huu ni utamaduni wa Watu wengi sana sio hao tu....Bali hata mataifa ya magharibi na baadhi ya mataifa mengine hususan Africa soko lililojaa wajinga wengi
Kuwa ni rampant practice, haifanyi kuwa legitimate practice.
Kuwa mashine ya ngono kwa kupenda, kuna picha ya tofauti na kulazimishwa.
Utamaduni ni socially accepted codes of conducts, ni tofauti na watu wachache ama kundi moja la watu kutumia nguvu zao na kuwafanya watu ama kundi lingine watumwa wao.
 
Tuna mambo ya kujifunza kwa yanayotokea duniani kwa namna nyingi. King Muswati, wa Eswatini, amekimbia nchi baada ya kuona nguvu ya wanaodai demokrasia imeongezeka. Lakini tukumbuke, Waswatzi, wamekuwa chini ya uongozi wa kitemi, unaompa mtemi wao nguvu kubwa isiyohojiwa kwa mila na mapokeo yanaolindwa na imani za mizimu. Ukuta huo uliambatana na masuala kadhaa yanayovunja haki za binadamu, kama kukosa elimu sahihi y akuwasaidia katika ulimwengu huu wa utandawazi, wanawake kufanyika mashine za ngono, n.k. Somo ninalolipata mimi ni kwamba:-

1) Cheo ni dhamana. Ni vizuri kutenda mema na haki kwa cheo chako kwa maslahi mazuri ya waliokupa hiyo nafasi, pasipo hila wala ubaguzi. Watu wana haki sawa.

2) Kuna faida katika kuendeleza binadamu unaowaongoza ki elimu na maarifa ili upate watu sahihi wa kukusaidia kusimamia na kuendesha nchi. Wakiwa na elimu sahihi watapanga na kuchagua mwelekeo kwa umakini, na hawatadanganyika na mtaheshimiana. Maana ni afadhali uondoke madarakani kwa maamuzi ya kitaalam ya unaowaongoza, kuliko vurugu za watu wajinga.

3. Ujinga ni mtaji wa muda tu, mwisho wake utalemewa na hutapata wasaidizi.

4. Ngonjera na sifa kutoka kwa watu wasioelewa, ni kujilisha na upepo kwa sababu wanaweza kuimba ngonjera vile vile kinyume chako bila kutumia akili pale upepo ukigeuka.

5. Tujifunze sote, viongozi na waongozwaji kumaliza mambo yetu kwa amani na majadiliano na si ubabe wala vurugu. Na hili tu litwezekana kama serikali zetu zitapunguza kutumia ujinga wa watu kama kinga dhidi ya kukosolewa kitaalam.

6. Kujimilikisha raslimali za taifa na kuwaacha wanachi wajinga, maskini bila fursa za uchumi, ni bomu.

Ongeza na yak kwako ili tupeane maarifa.





Hili ndilo wananchi tunalotakiwa kufanya kwa majizi ya ccm,Afrika nzima kwenye nchi kama Kenya,wananchi inabidi wawatimue watawala,
Kenya,mijitu ya NASA,ODM,Kalonzo,Mudavadi,Wetangula,Ruto,Kenyata,wote wanawaza kubadili Katiba Ili watawale,hawawazi jinsi ya kuweka mifumo Ili ku weka ajira za kutosha
 
Njoo tz kuna haya madude yanayoitwa MATAGA wakati wa uchaguzi yanashangilia kama yamekatika vichwa uongozi wa chama chao ukisha shika nchi wanajikuta nao wanalalamikia ugumu wa maisha az if ni misukule, tazama namna mwenda zake alivyo uponda mradi wa BANDARI YA BAGAMOYO walishangilia mpaka basi cha ajabu mama samia ameamua kuu huisha mradi madude yaleyale yaitwayo MATAGA yanashangilia utadhani machizi sasa hapa ndo ule usemi kwamba ukisha kuwa m/kiti ccm unapata wasaa wa kuondoa bongo za MATAGA
 
Back
Top Bottom