Upi mchango wa Haji Manara kwenye Tasnia ya michezo nchini?

Upi mchango wa Haji Manara kwenye Tasnia ya michezo nchini?

mwarabu feki

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2023
Posts
811
Reaction score
1,811
Nimejaribu kumsikiliza leo kupitia Amplifaya ya Milard Ayo, sijaona cha maana zaidi ya kujisifu tu kwamba ndani ya miaka miwili atamiliki/atanunua klabu ya ligi kuu Tanzania.

Pia anadai yeye analipwa pesa nyingi na GSM kuliko baadhi ya wachezaji wakubwa hapa nchini.

Nataka kujua huyu mtu ana mchango gani kwenye soka la nchi hii paka awe mjivuni na kiburi kiasi hiki?
 
Manara anatembelea nyota ya baba zake waliowahi kuwa wachezaji hodari miaka ya nyuma, mfano Sunday Manara na Kitwana Manara.

Manara hana mchango wowote zaidi ya kuwatafutia waganga yanga na zamani simba
 
Huyo mfurusheni...
Ila mi uto imavyoogoa kumfurusha eti wanadhani hawatakua mabingwa tena..huko ni kukosa akili...
 
Back
Top Bottom