"INFORMATION IS POWER" "KNOWLEDGE IS POWER" "POWER IS POWER"
Kwa nyakati tofauti nimeskia watu tofauti wakitafsiri maana ya "POWER" na nimebaki nikiwaza Yupi yuko sahihi zaidi ukizangatia mazingira ya dunia hii tunayoishi sasa?
I think information is powerful all because when you get info you run into that Info and within it laying opportunity that lead you to either invest and get into business.
Information huzalisha belief, ambayo inaweza kuwa true belief au false belief hapa itategemea usahihi wa hiyo information,
Knowledge hucorrect beliefs, yaani huichambua kama ni true belief au false belief kwa kuangalia msingi wa hiyo information kwa kina na kiundani zaidi mfano falsafa.
Unaonaje ukisoma vitabu (knowledge) ili uelewe kwa kina mambo mbali mbali na asili ya hivyo vi video na viterminology ambavyo mwandishi au mtunzi kaviweka baada ya kuchimbua kiundani mahali flani,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.