Upi ni ukweli kuhusu bara la Atlantis

Nashukuru mkuu kwa ufafanuzi murua kuhusu hao Annunaki na Aruba ni jamii kama ya Goliath yalikuwa na yenyewe majitu makubwa yenye nguvu enzi hizo naona labda mfano wako utakuwa umetosheleza kueleza kuhusu hawa Annunaki pia

Ahsante
 
Pamoja sana mkuu, Wasalimiee ujj
Nashukuru mkuu kwa ufafanuzi murua kuhusu hao Annunaki na Aruba ni jamii kama ya Goliath yalikuwa na yenyewe majitu makubwa yenye nguvu enzi hizo naona labda mfano wako utakuwa umetosheleza kueleza kuhusu hawa Annunaki pia

Ahsante
 
Asante kiongozi
 
huyo jamaa alikuwa anatumia bhangi kali sana. limepotea limeenda wapi?
Anadai lilizama chini ya bahari.... Wengine wakadai lilimezwa na bermuda triangle yaani kila mtu ana lake ndio maana nikaleta mada humu tujue kipi ni kipi
 
Nachoshangaa mm kwa nn malaika hawatetei binadamu wala kusaidia
Mkuu
Sema taafifu na omba toba kwa Mungu kwa hilo ulilosema hapo juu malaika hawalali wala kupumzika kukulinda ww hafu unasema hawawasaiidii?
Naomba usome elimu ya Malaika makundi yao na mgawanyo wa kazi then ufahamu
mapepo ndo yanaleta utamu wa dunia kupitia teknolojia je kunamtu ameshaona malaika
Mapepo yanaletaje utamu wa dunia?????
Kupitia teknologia hakuna watu walio wahi kuwaona malaika, malaika ni roho haonekani, ila huonekana kwa watu wenye imani thabiti kwa mpango maalumu. Wengi wenye imani wametokewa na malaika!!!!?[/QUOTE]
 
Kuna kitabu kinaitwa thiaoouba prophecy.

Kama utaamini kila ya kilichoandikwa huko utakuwa umepata majibu yako.

Kitabu unaweza kukinyonya mtandaoni kirahisi tu.
 
[emoji15] [emoji15] theory
 
Tuwekee hapa mkuu Tafadhari..
Kuna kitabu kinaitwa thiaoouba prophecy.

Kama utaamini kila ya kilichoandikwa huko utakuwa umepata majibu yako.

Kitabu unaweza kukinyonya mtandaoni kirahisi tu.
 
Unawezaje kurudisha bloodline ambayo Mungu ameifuta?
 
Watalirudisha vipi? Je na hayo majitu(Wanefili) watakuwepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…