silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,278
- 1,794
Kutokana na sakata la kuibiwa machine ya Ultrasoud, vyombo vingi vya habari vimekua vikielezea kuhusu tukio hili.
Wengi wamekua na matamshi tofauti, sasa je tunatamka Yutrasaund au Altrasound?
Kwa mujibu wa Google ni Altrasound lakini vyombo vingi vya habari vya hapa nchini wanatamka Yultrasaund sasa ipi sahihi Wakuu
Wengi wamekua na matamshi tofauti, sasa je tunatamka Yutrasaund au Altrasound?
Kwa mujibu wa Google ni Altrasound lakini vyombo vingi vya habari vya hapa nchini wanatamka Yultrasaund sasa ipi sahihi Wakuu