silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,278
- 1,794
Duuh!Njoo huku uswahilini kwetu usikie matamshi ndio utajua kama kizungu ni kidhungu. Mtu anakwambia nyutrosaundi [emoji23][emoji23]
Ni altra, kunamtangazaji azam nae ameniboa, anaita yultasaundKutokana na sakata la kuibiwa machine ya Ultrasoud, vyombo vingi vya habari vimekua vikielezea kuhusu tukio hili.
Wengi wamekua na matamshi tofauti, sasa jee tunatamka Yutrasaund au Altrasound?
Kwa mujibu wa google ni Altrasound lakini vyombo vingi vya habari vya hapa nchini wanatamka Yultrasaund sasa ipi sahihi Wakuu
Halafu mkuu hakuna neno linalojulikana kama "pronounciation"Kutokana na sakata la kuibiwa machine ya Ultrasoud, vyombo vingi vya habari vimekua vikielezea kuhusu tukio hili.
Wengi wamekua na matamshi tofauti, sasa jee tunatamka Yutrasaund au Altrasound?
Kwa mujibu wa google ni Altrasound lakini vyombo vingi vya habari vya hapa nchini wanatamka Yultrasaund sasa ipi sahihi Wakuu
Ilikuwa habari ya kingereza au kiswahiliNi altra,kunamtangazaji azam nae ameniboa,anaita yultasaund
Pronounciation yake: autraseindKutokana na sakata la kuibiwa machine ya Ultrasoud, vyombo vingi vya habari vimekua vikielezea kuhusu tukio hili.
Wengi wamekua na matamshi tofauti, sasa jee tunatamka Yutrasaund au Altrasound?
Kwa mujibu wa google ni Altrasound lakini vyombo vingi vya habari vya hapa nchini wanatamka Yultrasaund sasa ipi sahihi Wakuu
acha kupanic mimi sio magufuliYou hopeless feckless witless deluded id.iot