Salaam, Shalom!!
Takwimu za sensa iliyofanyika mwaka 2022 inasema Tanzania yetu wanaume na wanawake idadi Yao ni sawa Kwa asilimia, ingawa katika namba, inaonyesha wanawake wamewazidi wanaume Kwa 46,000.
Takwimu za mwaka 2022 zinasema jumla kuu ya population ni 67,760,837.
Wanaume- 33,857,364.(50%).
Wanawake-33,903,474.(50%).
Hapa tunavyoongea, July 2024 Kuna ongezeko la watu zaidi ya 1,700,000. Maana population ya sasa inasoma 69,428,058.
Swali; Unauongeleaje uhalisia wa Takwimu hizi kuwa idadi ya wanawake na wanaume ni sawa, kwamba katika familia Yako, ukoo au JAMII uliyopo, idadi wanaume ni sawa na wanawake?
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni🙏
Takwimu za sensa iliyofanyika mwaka 2022 inasema Tanzania yetu wanaume na wanawake idadi Yao ni sawa Kwa asilimia, ingawa katika namba, inaonyesha wanawake wamewazidi wanaume Kwa 46,000.
Takwimu za mwaka 2022 zinasema jumla kuu ya population ni 67,760,837.
Wanaume- 33,857,364.(50%).
Wanawake-33,903,474.(50%).
Hapa tunavyoongea, July 2024 Kuna ongezeko la watu zaidi ya 1,700,000. Maana population ya sasa inasoma 69,428,058.
Swali; Unauongeleaje uhalisia wa Takwimu hizi kuwa idadi ya wanawake na wanaume ni sawa, kwamba katika familia Yako, ukoo au JAMII uliyopo, idadi wanaume ni sawa na wanawake?
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni🙏