Upi Usahihi; Akili ni Nywele au si Nywele?

Upi Usahihi; Akili ni Nywele au si Nywele?

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
siku zote nimekua sijatafakari vizuri hadi leo niliposikia watu wa salon moja wakibishana kwamba ule msemo ambao mm nimeuzoe kama Akili ni Nywele kila mtu ana zake usahihi wake ni kwamba akili si nywele kila mtu ana zake, na nadhani walikua na hoja moja kwamba ingawa kila mtu ana nywele lakn akili zetu ni tofauti ndio vile wakasema akili si nywele


Upi ni sahihi, wewe umezoa upi?
 
Usahihi upo kwenye hiyo Akili ni nywele, kila mtu ana zake...
ufafanuzi
kila mtu ana nywele zake mwenyewe zilizo katika sura tofauti na uzuri au ubaya wa nywele ambazo kila mtu anazaliwa nazo ni matunzo ya nywele hizo...hivyo kuwa na akili ama kutokua nazo ni juhudi binafsi za muhusiki
 
usahihi upo kwenye hiyo akili ni nywele, kila mtu ana zake...
Ufafanuzi
kila mtu ana nywele zake mwenyewe zilizo katika sura tofauti na uzuri au ubaya wa nywele ambazo kila mtu anazaliwa nazo ni matunzo ya nywele hizo...hivyo kuwa na akili ama kutokua nazo ni juhudi binafsi za muhusiki

asante sana mdau
 
Usahihi upo kwenye hiyo Akili ni nywele, kila mtu ana zake...
ufafanuzi
kila mtu ana nywele zake mwenyewe zilizo katika sura tofauti na uzuri au ubaya wa nywele ambazo kila mtu anazaliwa nazo ni matunzo ya nywele hizo...hivyo kuwa na akili ama kutokua nazo ni juhudi binafsi za muhusiki

umefafanua vizuri, nitawafafanulia maana siku hiyo sikutia neno
 
...akili ni akili tu,na nywele ni nywele hamna uhusiano kisayansi, labda mbwembwe za lugha ambapo pia inaweza ikawa akili si nywele au ni nywele inategemea unajenga hoja gani...
 
Wengine wanasema "akili sio makalio useme kila mtu atakuwa nayo"
 
Nywele zinakaa kichwani ambako kuna akili. Nywele za sehemu nyinginezo za mwili kama ndevu, vinyeleo, m.a.vuzi, nyusi, n.k. sio nywele maana zina majina yake.
 
...akili ni akili tu,na nywele ni nywele hamna uhusiano kisayansi, labda mbwembwe za lugha ambapo pia inaweza ikawa akili si nywele au ni nywele inategemea unajenga hoja gani...

sawa mdadavuzi
 
Back
Top Bottom