Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao wenyewe (Toyota) wameandika kwamba hakuna haja ya kubadili ATF kwa matumizi ya kawaida ya gari. Shida ni kwamba sisi hatutumii ATF quality kama wanazoweka kiwandani, zinazoweza kukaa hadi 200,000/= km. Hizi tunazoweka sisi, kagua tu kuona kama imekuwa nyeusi, ukiona imekuwa nyeusi sana, badilisha.Yaani mtu unashaurije mwenzio asibadirishe ATF?
Hatakiwi kubadili kwa sasaYaani mtu unashaurije mwenzio asibadirishe ATF?
Wana jf mpo kimya ama hakuna mwenye Toyota IST!Kwenye gari aina ya IST hiyo gear box oil unaiangalizia wapi?
Unaposema hatutumii quality kama za kiwandani unamaanisha nini? Maana Toyota wenyewe wanayo ya kwaio na inauzwa dukani kwao Toyota...au unamaanisha zile za 7,000 1LitreWao wenyewe (Toyota) wameandika kwamba hakuna haja ya kubadili ATF kwa matumizi ya kawaida ya gari. Shida ni kwamba sisi hatutumii ATF quality kama wanazoweka kiwandani, zinazoweza kukaa hadi 200,000/= km. Hizi tunazoweka sisi, kagua tu kuona kama imekuwa nyeusi, ukiona imekuwa nyeusi sana, badilisha.
Yeah za buku 7 hizoUnaposema hatutumii quality kama za kiwandani unamaanisha nini? Maana Toyota wenyewe wanayo ya kwaio na inauzwa dukani kwao Toyota...au unamaanisha zile za 7,000 1Litre
IST unawaza kubadili ATF ili ugundue nn? IST hata ikiungua mi naona sawa tuIST recommended ni Type IV inauzwa Elfu 90 Lita 4 zinaingia itabaki kidogo.
ATF ni life time according to manual. Pia ukitoa stick ya ATF utaona wameandika no need to change under normal driving conditions.
Ila kama una hela nunua tu badirisha. You will notice some changes.
Shida ni kwamba, unakuta owner wa kwanza alishabadirisha na akaweka zile cheap ATF.Hizo kms bado mkuu
Hatakiwi kubadili kwa sasa
Magari yenyewe ya kibongo haya gear box tunanunua laki 3 hadi 4 pale Shauri moyo, sioni hata haja ya kujipa pressure sana, weka tu ATF ya kawaida, 7k per liter, tembelea kilomita elfu 10 kisha kagua kama ule wekundu umeondoka na kuwa nyeusi, kama ni nyeusi means imeshaungua, badiliShida ni kwamba, unakuta owner wa kwanza alishabadirisha na akaweka zile cheap ATF.