Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Wakurungwa tuwe tu wakweli na tuseme uwazi.
CHADEMA isitegemee kupata Rais , Wabunge wala Madiwani kwenye Uchaguzi Mkuu 2020. Na hata vyama vingine vya upinzani wasitegemee katika hilo.
Wanaotaka kutia nia waache maana watapoteza pesa zao na muda wao , mwisho wa siku wataambulia madeni na stress tu huko mtaani.
' Set up ' iliyopo ni kwamba upinzani kwaheri ya kuonana. Wasubiri 2025 (labda).
Yetu macho.
CHADEMA isitegemee kupata Rais , Wabunge wala Madiwani kwenye Uchaguzi Mkuu 2020. Na hata vyama vingine vya upinzani wasitegemee katika hilo.
Wanaotaka kutia nia waache maana watapoteza pesa zao na muda wao , mwisho wa siku wataambulia madeni na stress tu huko mtaani.
' Set up ' iliyopo ni kwamba upinzani kwaheri ya kuonana. Wasubiri 2025 (labda).
Yetu macho.