Upinzani nchini sasa hivi umekua kama vile nyumba ya kupanga ya baba mwenye nyumba asie tabirika

Upinzani nchini sasa hivi umekua kama vile nyumba ya kupanga ya baba mwenye nyumba asie tabirika

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Yaani mguu nje, mguu ndani, wakati wowote mwenye nyumba anatoa notice ya mtu kutimuliwa pangoni na wakati wowote vile vile uzalendo unamshinda mpangaji anaondoka anahamia kwingineko.

Ni kirusi gani sijui kimewatembelea hawa majamaa huko kwe vyama vyao? kila uchwao miongoni mwao ni kutuhumiana tu na kulumbana wao kwa wao kwamba kuna wala rushwa na wasio wala rushwa baina yao viongozi.

Na sasa hivi wanatangatanga bila uelekeo, na kujihusisha na masuala kihalifu na uvunjifu wa amani, ili wakamatwe na polisi kuvutia huruma ya wananchi ambao tayari wengi wao walishawapuuza watu hawa na harakati zao zenye kuwanufaisha wao na familia zao kwa mngongo wa kutetea wananchii🐒
 
yaani mguu nje, mguu ndani, wakati wowote mwenye nyumba anatoa notice ya mtu kutimuliwa pangoni na wakati wowote vile vile uzalendo unamshinda mpangaji anaondoka anahamia kwingineko...

ni kirusi gani sijui kimewatembelea hawa majamaa huko kwe vyama vyao? kila uchwao miongoni mwao ni kutuhumiana tu na kulumbana wao kwa wao kwamba kuna wala rushwa na wasio wala rushwa baina yao viongozi...

na sasa hivi wanatangatanga bila uelekeo, na kujihusisha na masuala kihalifu na uvunjifu wa amani, ili wakamatwe na polisi kuvutia huruma ya wananchi ambao tayari wengi wao walishawapuuza watu hawa na harakati zao zenye kuwanufaisha wao na familia zao kwa mngongo wa kutetea wananchii[emoji205]
Tatizo ni machawa wamekua tatizo jingine kwenye siasa za nchi,
 
Back
Top Bottom