Kiranja wa jamii
JF-Expert Member
- Jan 2, 2023
- 441
- 1,065
Nchi ni ya watanzania wote bila kujali vyama vyao wala chochote
Rais akishaapishwa anakuwa kiongozi wa nchi sio wachama hivyo anakuwa kiongozi wa watu wote
Kwa msingi huo watu wote ni mali ya Rais na wanayo nafasi sawa mbele ya Rais bila kujali itikadi zao
Vyama vya upinzani vina watu wengi wenye mawazo mbadala ambayo pengine yakitumiwa yanaweza kuleta matokeo chanya kwenye nchi yetu
Watu kama Tundu Lisu, Zitto Kabwe, J.J Mnyika, G.Malisa, Yericko Nyerere na wengine wengi wote ni mali ya Rais
Hivi haiwezekani watu wa aina hii wakatumiwa rasmi na TISS wakapewa jukwaa rasmi la kukutana na kushauri moja kwa moja kwa Rais
Faida itakayopatikana ni kuwa wataongea bila unafiki, bila uchawa, bila kujikomba, bila woga wala wasiwasi wowote hivyo kutoa uhalisi wa ilivyo na inavyotakiwa kuwa
Rais akishaapishwa anakuwa kiongozi wa nchi sio wachama hivyo anakuwa kiongozi wa watu wote
Kwa msingi huo watu wote ni mali ya Rais na wanayo nafasi sawa mbele ya Rais bila kujali itikadi zao
Vyama vya upinzani vina watu wengi wenye mawazo mbadala ambayo pengine yakitumiwa yanaweza kuleta matokeo chanya kwenye nchi yetu
Watu kama Tundu Lisu, Zitto Kabwe, J.J Mnyika, G.Malisa, Yericko Nyerere na wengine wengi wote ni mali ya Rais
Hivi haiwezekani watu wa aina hii wakatumiwa rasmi na TISS wakapewa jukwaa rasmi la kukutana na kushauri moja kwa moja kwa Rais
Faida itakayopatikana ni kuwa wataongea bila unafiki, bila uchawa, bila kujikomba, bila woga wala wasiwasi wowote hivyo kutoa uhalisi wa ilivyo na inavyotakiwa kuwa