Upishi wa keki

qtie

Member
Joined
Feb 3, 2017
Posts
33
Reaction score
11
Habari naomba kujua kama bakingsoda ni muhimu kwenye kupika keki au naweza kutoweka. Najifunza kupika keki.
 
nenda jukwaa la mapishi mkuu
available
 
Ushapika ile kek au bado hujapat maelekezo yake
 
Huku sio kwenyewe mkuu nenda jukwaa la mapishi
 
Habari naomba kujua kama bakingsoda ni muhimu kwenye kupika keki au naweza kutoweka. Najifunza kupika keki.
Umeshaandaa mahitaji yote nikufahamishe kazi yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…