Mimi???Mimi babu wa maraha nipo zangu nyumbani nimetulia kabisa huku nikiburudishwa na Aurlus Mabele, huku home theatre likiunguruma.
Ukweli mchungu zamani kulikuwa na muziki haswa, sio kelele za siku hizi, yaani nimejikuta kama sidaiwi hivi kumbe nina madeni tele, lakini hii play list inanifanya nijione nipo huru kabisa.
Liputa
Mayday
Huku Mabele akiwa katalawa kwenye playlist.
Wewe upo wapi muda huu na unaburudika na nini.
Ebu tuone....😜Nimetoka kuoga,akili na mwili vimetulia...ndiyo naperuzi JF nikiwa kwa bed hapa
Kwa Tunza BeachMimi babu wa maraha nipo zangu nyumbani nimetulia kabisa huku nikiburudishwa na Aurlus Mabele, huku home theatre likiunguruma.
Ukweli mchungu zamani kulikuwa na muziki haswa, sio kelele za siku hizi, yaani nimejikuta kama sidaiwi hivi kumbe nina madeni tele, lakini hii play list inanifanya nijione nipo huru kabisa.
Liputa
Mayday
Huku Mabele akiwa katalawa kwenye playlist.
Wewe upo wapi muda huu na unaburudika na nini.
TuhadithieMimi nipo saloon naburudika na maumbea tu hapa.
Uone nini tena...nimegaragazwa night nzima sina hamu hapa😔Ebu tuone....😜
Castle lite unaleta nzii mkuu , pia nyagi mpka Figo zishangilie.Nipo picollo hapa kawe chini nasukuma castle lite kidogo kidogo
HongeraUone nini tena...nimegaragazwa night nzima sina hamu hapa😔
Kwahiyo engine inapigwa upepo tu sasa hiviUone nini tena...nimegaragazwa night nzima sina hamu hapa😔