Sioni akishinda, akikaza sana anaweza pata droo.Pamoja mkuu, man utd atashinda?
Leo hauangalii movie?Nimetoka kuoga,akili na mwili vimetulia...ndiyo naperuzi JF nikiwa kwa bed hapa
Hatari sana😂😂hayasemekiTuhadithie
Hahahha yaani hapa ni kuongea tu. Watu tunafanya uchambuzi wa kila kitu😂Huko ndo mnakotimiza zile takwimu za wanawake kuongea maneno 20,000 kwa siku
ilazo au kina mwakasege?Wape hi hapo
Tungoje dakika 90 uwanjani, simuoni akishinda pia.Sioni akishinda, akikaza sana anaweza pata droo.
Kabisa mawazo na mipango vilevileNjia mbadala ya kupata mawazo mapya
Hapana,napumzika tu mkuuLeo hauangalii movie?
Yeah Game dk 90, lolote linaweza kutokea.Tungoje dakika 90 uwanjani, simuoni akishinda pia.
Yaan hapa mna mdetisha mtu mnamuozesha na kumpa talaka kwa pamojaHahahha yaani hapa ni kuongea tu. Watu tunafanya uchambuzi wa kila kitu😂
Na mchakamchaka wote baada ya wiki itataka tena dyuduYeah,na nimeikanda kabisa mkuu ...maana niliingia choo cha kiume😪
Kuna mwamba mmoja wa kike hapa kila simu inayoita ni ya babe, 🔥🔥🔥.Yaan hapa mna mdetisha mtu mnamuozesha na kumpa talaka kwa pamoja
Aisee kwahiyo hapo ni full kupeana mbinu tu kweli wanawake mnajua kutusokotaKuna mwamba mmoja wa kike hapa kila simu inayoita ni ya babe, 🔥🔥🔥.
Wote wanatuma hela ya kusuka.
Ila watu wa humu ndani 😹Ghetto nimetuliza pum.bu tu hapa.