Mzee John Samwel Swai(61) mstaafu wa Jeshi la Polisi amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumsaidia asiondolewe katika kambi anayoishi kwani bado hajalipwa fedha za mizigo pamoja na fedha za likizo ambazo anapaswa kulipwa.
Dr. Samia alipoingia madarakani kama Amri Gesi mkubwa alionyesha wazi kabisa kutokupenda Gesi la Furushi .
Akaunda na Tume ya Aki jinai .
Katika tume sidhani kama walizungumzia haki za polisi zaidi ya haki za washutumiwa.
Baada ya kunogewa na mauzo ya Bandari anatamani kusalia madarakani kwa namna yoyote . Wakora wa mambo na wahuni wa uchaguzi wakamwambia bila Poorishi hushindi . Anajifanya kuwa anadapenda baadhi ya maafisa wakubwa lakini wale kule chini bado akawa na walakini nao japo anataka ushindi wa mezani .
Nchi ikiwa na kiangozi asiye na maono ni hatari sana . Katika mapolisi hao hao kuna wanaopata haki zao na wanaokosoa .
Tuo maana Katiba ya Jaji Warioba ilipendekeza pawe na Tume maalumu inayosikiliza Malalamiko na kutoa haki kwenye Jeshi la polisi.
Nyumba ya serikali na mastaafu wa Jeshi kuna haraka gani ya kumfukuza kwenye nyumba wakati amevumilia kucheleweshwa na haki zake . Kama wanaharaka basi waharakishe na stahiki zake .
Bila shaka kuna rushwa pia kwa mtu mwingine anayetaka nyumba hiyo .
Wakati mwingine mifumo mibovu na utawala Corrupt unabipuuza sana vyombo vya dola . Mfano ni Kongo askari wa Kongo ni hopeless kabisa bora hata wa Burundi .
Lakini yote ni kwa sababu Serikali ya wakongo haitaki kuwajibika kwa wananchi na kulinda mali zao umma hivyo haina haja ya kuwa na askari waadilifu wenye kusimamia haki . Matokeo yake wananchi wanaichukia serikali na kujiunga na waasi .
Ndio maana nchi za kisini mwa jangwa la Sahari zote zinatunza majeshi yake kupitia misheni za UN zinazofadhiliwa na Marekani na wakora wengine na wezi wa rasilimali za dunia . Mfano Burundi au hizi nchi nyingine za mashariki siku vita ya Kongo na Sudani ikiisha . Je,serikali imejipanga kuwapa wanajeshi wake mishahara inayokidhi maisha yao mabeli na sasa wananufaika na mishahara ya UN . ?
Seikali iweke wazi stahiki za watumishi wake na wale wanaozikanyaga ndio washughulikiwe sio kuwadhalilisha walionyimwa haki zao.
Lakini pia ni wakati sasa wa Vyama vya siasa mwaka huu kwenye uchaguzi kuja na sera za makazi ,ardhi, Misitu ,madini ,gesi , Utalii, ajira , Bima ya afya kwa wagonjwa , Elimu ya umma , Uwanda na teknolojia , Kilimo na biashara na haki kwa kila mtanzania bila kutishiwa kuuawa au kutekwa au kufukuzwa kazi au kufilisiwa mali kwa sababu tu ya tofauti za kimitazamo kwa wananchi .
Bila shaka Tundu Lisu na ACT watajipanga vya kutosha kuja na sera zenye kuwavutia mpaka wale wanaoilinda CCM na kujua kua CCM kina wenyewe na wenyewe sio hao mapolisi wasio na thamani kwenye chama baada ya kustaafu.