Heri lee
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 981
- 537
Kwema ndugu....
Mnamo mwaka 1970 tarehe 5-8 watalii kutoka nchi Ujerumani waliingia nchi Tanzania Donald Morison na mkewe Abe kufanya utalii binafsi jijini Tanga wakiwa na mbwa wao kama wazungu wengi wapendavyo kutembea na mbwa
Siku ya tukio
Mwezi wa 9 mwaka huo 1970 watalii Donald na mke walitua jijini Tanga kufanya utalii huko pangoni Amboni walipofika uongozi wakijiji huo walipokewa na baraka zote wakapewa
Masharti Pangoni
Ilikuwa ni sharti kuwa mila na desturi za mapango hayo hairuhusiwi kuingia na mnyama yeyote kwa ulinzi binafsi k.v mbwa mzee ambaye alikuwa eneo lile akidai kuna mizimu ya mabavu umbo LA joka lisiloruhusu kuingia humo na mbwa
Kwa wale waliobaatika kufika Amboni wanajua eneo LA kufanyia tambikk LA mizimu huko ndani ya mabango eneo lenye uwazi Fulani""
Wagoma kuacha "Mbwa""
Watalii hawa waligoma kabisa kuacha mbwa wao kama mlinzi wao kuangalia maajabu haikuwa sababu ya kuzuia kuingia na mbwa huyo pangoni(kama ujuavyo ngozi nyeupe zinavyofanya lolote kwa wakati ule)
Waingia pangoni wavunja amri ya Mizimu
Baada ya kuingia na mbwa yule kama mlinzi hawakuonekana tena kwa siku kadhaa haikuwa kawaida kukaa muda mrefu huo ilipita wiki 2 bila Donald na Abe kuonekana
Wafuatiliwa nyayo
Ndugu zao kutoka nchini German na uongozi was kijiji wakaingia pangoni kutafuta watalii
Je Donald yuko wapi na mkewe na mbwa wao??
Twende pamoja...
Wakifuatilia nyayo zao ziliishia kwenye miamba pasipo weza onekana
Kofia ya Donald
Kofia ya Donal iliokotwa eneo ambalo linajulikana kama USA lenye sanamu ya MTU alieshika mwenge kama yule wa
Washington DC
Zaidi ya hapo haikupatikana lolote licha ya utafiti kufanyika zaidi ya miezi 5 haikupatikana hata unyoya
Nini kiliwapata??
Mwezi wa 6 mwaka 1971
Haifaa utafiti wote ukagonga mwamba
Lakini walikufa au walipotea kimiujiza?
Wataalamu walitumia mbinu ya ,unyayo footsteps
Kwa njia ya biometric lakini waliishia kufika umbali wa mita kama 120 hivi ni haikuonekana chochote utafiti ukaishia hapo
Mbwa aonekena Kilimanjaro
Udhibitisho kuwa kuna njia kutoka mapango ya Amboni hadi miteremko ya mlima Kilimanjaro (m 5895) ulifikia kuaminika baada mbwa kuoneka Kilimanjaro miezi 7 baada ya kupotea kwa Watalii baada ya utafiti iliaminika mbwa huyu ndie alieingia pangoni na watalii hadi kufikia hapo ndugu walitengeneza mfano wa kaburi na kuihifadhi kofia ya Donald
Hadi Leo hii wajulikani walipo hadi miili yao
Mnamo mwaka 1970 tarehe 5-8 watalii kutoka nchi Ujerumani waliingia nchi Tanzania Donald Morison na mkewe Abe kufanya utalii binafsi jijini Tanga wakiwa na mbwa wao kama wazungu wengi wapendavyo kutembea na mbwa
Siku ya tukio
Mwezi wa 9 mwaka huo 1970 watalii Donald na mke walitua jijini Tanga kufanya utalii huko pangoni Amboni walipofika uongozi wakijiji huo walipokewa na baraka zote wakapewa
Masharti Pangoni
Ilikuwa ni sharti kuwa mila na desturi za mapango hayo hairuhusiwi kuingia na mnyama yeyote kwa ulinzi binafsi k.v mbwa mzee ambaye alikuwa eneo lile akidai kuna mizimu ya mabavu umbo LA joka lisiloruhusu kuingia humo na mbwa
Kwa wale waliobaatika kufika Amboni wanajua eneo LA kufanyia tambikk LA mizimu huko ndani ya mabango eneo lenye uwazi Fulani""
Wagoma kuacha "Mbwa""
Watalii hawa waligoma kabisa kuacha mbwa wao kama mlinzi wao kuangalia maajabu haikuwa sababu ya kuzuia kuingia na mbwa huyo pangoni(kama ujuavyo ngozi nyeupe zinavyofanya lolote kwa wakati ule)
Waingia pangoni wavunja amri ya Mizimu
Baada ya kuingia na mbwa yule kama mlinzi hawakuonekana tena kwa siku kadhaa haikuwa kawaida kukaa muda mrefu huo ilipita wiki 2 bila Donald na Abe kuonekana
Wafuatiliwa nyayo
Ndugu zao kutoka nchini German na uongozi was kijiji wakaingia pangoni kutafuta watalii
Je Donald yuko wapi na mkewe na mbwa wao??
Twende pamoja...
Wakifuatilia nyayo zao ziliishia kwenye miamba pasipo weza onekana
Kofia ya Donald
Kofia ya Donal iliokotwa eneo ambalo linajulikana kama USA lenye sanamu ya MTU alieshika mwenge kama yule wa
Washington DC
Zaidi ya hapo haikupatikana lolote licha ya utafiti kufanyika zaidi ya miezi 5 haikupatikana hata unyoya
Nini kiliwapata??
Mwezi wa 6 mwaka 1971
Haifaa utafiti wote ukagonga mwamba
Lakini walikufa au walipotea kimiujiza?
Wataalamu walitumia mbinu ya ,unyayo footsteps
Kwa njia ya biometric lakini waliishia kufika umbali wa mita kama 120 hivi ni haikuonekana chochote utafiti ukaishia hapo
Mbwa aonekena Kilimanjaro
Udhibitisho kuwa kuna njia kutoka mapango ya Amboni hadi miteremko ya mlima Kilimanjaro (m 5895) ulifikia kuaminika baada mbwa kuoneka Kilimanjaro miezi 7 baada ya kupotea kwa Watalii baada ya utafiti iliaminika mbwa huyu ndie alieingia pangoni na watalii hadi kufikia hapo ndugu walitengeneza mfano wa kaburi na kuihifadhi kofia ya Donald
Hadi Leo hii wajulikani walipo hadi miili yao