Upotoshaji katika hotuba ya Rais Magufuli tokea Chato

Upotoshaji katika hotuba ya Rais Magufuli tokea Chato

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Nilimsikiliza vyema mheshimiwa rais katika hotuba yake kuhusiana na Corona alipokuwa akimwapisha waziri Mwigulu.

Waziwazi mheshimiwa rais alipotosha kwa makusudi katika maeneo kadhaa labda kwa maslahi zaidi ya kisiasa. Kwa bahati mbaya gonjwa hili halihitaji propaganda za kisiasa bali ufumbuzi pekee wa kisayansi:

1. "Wanasema ni lockdown, watapata wapi chakula wanachopata masokoni. Kwenye lockdown, masoko nayo yatafungwa. Watakosa chakula maana hawana mashamba."

Huu ni upotoshaji wa makusudi kwani hata kwenye total lockdown, sehemu za muhimu kama za manunuzi ya vyakula huwa wazi. Huwa kuna taratibu tofauti tofauti kutegemeana na mahali, ambapo kwingine wachuuzi huuza kwa zamu ili kuzuia mikusanyiko, nk.

2. "Wanasema ni lockdown wakati wanaendesha ma STK. Wanajua hata hiyo mishahara yao inatokana na kodi. Watakula wapi?"

Huu ni upotoshaji mwingine wa wazi kujaribu kuweka mwonekano batili kuwa katu serikali haziwajibiki kwa lolote kwenye majanga.

3. "Nimeongea na marais Ramaphosa na Museveni. Huko walikokuwa na lockdown wanalia. Wamekufa maelfu 50+ kwa njaa na hivi wako kwenye kuachana na hizo lockdown."

South Africa wako kwenye hatua za kumaliza iliyokuwa total lockdown na Ramaphosa alikuwa wazi tokea mwanzo, kuwa heri waende kwenye total lockdown mapema kuliko baadaye maana ingewagharimu zaidi in terms of maisha ya watu na hata raslimali kwa baadaye kama wakichelewa. Walienda lockdown wakiwa na wagonjwa chini ya 200. Sasa kasi ya maambukizi imedhibitiwa.

South Africa walikuwa wanagawa chakula bure kwa wahitaji. Ugonjwa umedhibitiwa kwa ujumla, kwani kasi ya maambukizi wamesha idhibiti na sasa wanarejea pole pole kwenye maisha yao ya kawaida.

Uganda walikuwa kwenye partial lockdown waliyoianza mapema mno. Case zao zote muda wote zimekuwa ni imported. Hawakuwa na maambukizi ya ndani kabisa. Wao si vifo vya Corona tu, bali hata vya njaa navyo hamna.

Ugonjwa wameshaudhibiti na wanarejea pole pole kwenye maisha yao ya kawaida.

Wapi huko Meko alikuwa akidai maelfu wamekufa njaa kwenye lockdown? Tumepigwa changa la macho. Si mbaya akijua kuwa hawezi kuwadanganya watu wote siku zote.

4. "Sampuli mbalimbali za kware, kondoo, mbuzi, oil nk, kuwa na majibu hata positive au negative".

Sampuli zinaweza kuwa contaminated (cross contamination). Bila ya kujua handling ya sampuli ilikuwa je, tokea kwenye source hadi mrejesho wa majibu, labda kama handlers ni malaika; vinginevyo si sahihi kuwa na tuhuma nzito za sabotage kama zile alizozitoa kwa wote. Ila kama ni hawa wasiojulikana ndiyo wenyewe handlers wa hizo sampuli (katika hatua yoyote), hawa ambao wao hata risasi hukata kona, mbona kuwaamini yahitaji moyo wa ziada?

5. "Kila kifo si lazima ni Corona".

Hivi ni kifo kipi walichothibitisha kuwa ni cha Corona? Anapendekeza hadi maiti ivalishwa PPE ili kusafirishwa, kama vile wauguzi wenyewe wanazo hizo PPE za kukidhi mahitaji yao.

6. "Dawa inapatikana Madagascar, tutatuma ndege ikalete".

Dawa inayosemekana Madagascar ni mitishamba. Nayo ni kama hii hapa. Haya ya hivi yanapatikana maporini kote. Makabila mbalimbali wanaita majina yake. Huu unaitwa Tetradenia riparia:

IMG_20200504_214412_127.jpg


Inahitaji ndege kufuata haya ya namna hii Antananarivo? Au labda ilikuwa mahsusi kwa ajili ya wapiga nyungu kuwaonyesha yuko busy kutafuta ufumbuzi?

7. Nk nk.

Yaonyesha hotuba ile ililenga katika kuleta confusion ile ile inayopigiwa chapuo kwa bidii na wale waimba mapambio na mavuvuzela yao. Huku tukibakia pale pale kwenye acha wenye kufa wafe, wa kuishi waishi hadi tiba au chanjo itakapopatikana.
 
Nilimsikiliza vyema mheshimiwa rais katika hotuba yake kuhusiana na Corona alipokuwa akimwapisha waziri Mwigulu.

Waziwazi mheshimiwa rais alipotosha kwa makusudi katika maeneo kadhaa labda kwa maslahi zaidi ya kisiasa. Kwa bahati mbaya gonjwa hili halihitaji propaganda za kisiasa bali ufumbuzi wa kisayansi pekee:

1. "Wanasema ni lockdown, watapata wapi chakula wanachopata masokoni. Kwenye masoko nayo yatafungwa watakosa chakula maana hawana mashamba."

Hii ni upotoshaji wa makusudi kwani hata kwenye total lockdown. sehemu za muhimu kana za manunuzi ya vyakula huwa wazi. Huwa kuna taratibu tofauti tofauti kutegemeana na mahali, ambapo kwingine wachuuzi huuza kwa zamu ili kudhibiti mikusanyiko, nk.

2. "Wanasema ni lockdown wakati wanaendesha STK wanajua hata hiyo mishahara yao inatokana na kodi. Watakula wapi?"

Huu ni upotoshaji mwingine wa wazi kujaribu kuweka mwonekano batili kuwa katu serikali haziwajibiki kwa lolote kwenye majanga.

3. "Nimeongea na marais Ramaphosa na Museveni. Huko walikokuwa na lockdown wanalia kwani wamekufa maelfu 50+ kwa njaa na hivi wako kwenye kuachana na hizo Lockdown."

South Africa wako kwenye total lockdown na Ramaphosa amekuwa wazi tokea mwanzo, kuwa heri waende kwenye total lockdown mapema kuliko baadaye maana itajawagharimu zaidi in terms of maisha na hata raslimali. Walienda lockdown wakiwa na wagonjwa chini ya 200.

South Africa wanagawa chakula bure kwa wahitaji. Ugonjwa umedhibitiwa kwa ujumla kwani kasi ya maambukizi wamesha idhibiti na sasa wanarejea pole pole kwenye maisha ya kawaida.

Uganda kwenye partial lockdown iliyoanza mapema mno kwani case zao zote zilikuwa ni imported, wao si vifo vya Corona tu, bali hata vya njaa hamna.

Ugonjwa wameshaudhibiti na wanarejea pole pole kwenye maisha yao.

Wapi huko Meko alikuwa akidai maelfu wamekufa njaa kwenye lockdown? Tumepigwa changa la macho.

4. "Sampuli mbali mbali za kware, kondoo, mbuzi, oil nk, kuwa na majibu hata positive au negative".

Sampuli zinaweza kuwa contaminated (cross contamination). Bila ya kujua handling ya sampuli tokea kwenye source hadi mrejesho wa majibu labda kama handlers ni malaika vinginevyo si sahihi kuwa na tuhuma nzito za sabotage kama zile. Ila kama ni hawa wasiojulikana ndiyo handlers wenyewe wa sampuli, ambao wao hata risasi hukata kona mbona kuwaamini yahitaji moyo wa ziada?


5. "Kila kifo si lazima ni Corona".

Hivi ni kipi walichothibitisha kuwa ni cha Corona? Anapendekeza hadi maiti ikivalishwa PPE kama vile wauguzi wenyewe wanazo hizo PPE za kukidhi mahitaji yao.

6. "Dawa inapatikana Madagascar, tutakuja ndege ikalete".

Dawa inayosemekana Madagascar ni mitishamba. Nayo ni hii hapa:

Haya yanapatikana maporini kote makabila mbalimbali wanaita majina yake. Huu unaitwa tetradenia riparia:

View attachment 1439832

Inahitaji ndege kufuata haya Antananarivo?

Hiyo labda ilikuwa mahsusi kwa ajili ya wapiga nyungu.

7. Nk nk.

Yaonyesha hotuba ile ililenga katika kuleta confusion ile ile inayopigiwa chapuo kwa bidii na wale waimba mapambio na mavuvuzela yao. Tukibakia pale pale acha wenye kufa wafe wa kuishi waishi hadi tiba au chanjo ipatikane.


Huu mmea ulioweka hapo Tetradenia riparia, si mmojawapo wa mimea waliyotumia Madagascar.
 
Nilimsikiliza vyema mheshimiwa rais katika hotuba yake kuhusiana na Corona alipokuwa akimwapisha waziri Mwigulu.

Waziwazi mheshimiwa rais alipotosha kwa makusudi katika maeneo kadhaa labda kwa maslahi zaidi ya kisiasa. Kwa bahati mbaya gonjwa hili halihitaji propaganda za kisiasa bali ufumbuzi pekee wa kisayansi:

1. "Wanasema ni lockdown, watapata wapi chakula wanachopata masokoni. Kwenye lockdown, masoko nayo yatafungwa. Watakosa chakula maana hawana mashamba."

Huu ni upotoshaji wa makusudi kwani hata kwenye total lockdown, sehemu za muhimu kama za manunuzi ya vyakula huwa wazi. Huwa kuna taratibu tofauti tofauti kutegemeana na mahali, ambapo kwingine wachuuzi huuza kwa zamu ili kuzuia mikusanyiko, nk.

2. "Wanasema ni lockdown wakati wanaendesha ma STK. Wanajua hata hiyo mishahara yao inatokana na kodi. Watakula wapi?"

Huu ni upotoshaji mwingine wa wazi kujaribu kuweka mwonekano batili kuwa katu serikali haziwajibiki kwa lolote kwenye majanga.

3. "Nimeongea na marais Ramaphosa na Museveni. Huko walikokuwa na lockdown wanalia. Wamekufa maelfu 50+ kwa njaa na hivi wako kwenye kuachana na hizo lockdown."

South Africa wako kwenye hatua za kumaliza iliyokuwa total lockdown na Ramaphosa alikuwa wazi tokea mwanzo, kuwa heri waende kwenye total lockdown mapema kuliko baadaye maana ingewagharimu zaidi in terms of maisha na hata raslimali kwa baadaye kama wakichelewa. Walienda lockdown wakiwa na wagonjwa chini ya 200. Sasa kasi ya maambukizi imedhibitiwa.

South Africa walikuwa wanagawa chakula bure kwa wahitaji. Ugonjwa umedhibitiwa kwa ujumla, kwani kasi ya maambukizi wamesha idhibiti na sasa wanarejea pole pole kwenye maisha ya kawaida.

Uganda walikuwa kwenye partial lockdown waliyoianza mapema mno. Case zao zote zilikuwa ni imported hawakuwa na maambukizi ya ndani kabisa kabisa. Wao si vifo vya Corona tu, bali hata vya njaa navyo hamna.

Ugonjwa wameshaudhibiti na wanarejea pole pole kwenye maisha yao ya kawaida.

Wapi huko Meko alikuwa akidai maelfu wamekufa njaa kwenye lockdown? Tumepigwa changa la macho. Si mbaya akijua hawezi kuwadanganya watu wote siku zote.

4. "Sampuli mbali mbali za kware, kondoo, mbuzi, oil nk, kuwa na majibu hata positive au negative".

Sampuli zinaweza kuwa contaminated (cross contamination). Bila ya kujua handling ya sampuli tokea kwenye source hadi mrejesho wa majibu labda kama handlers ni malaika vinginevyo si sahihi kuwa na tuhuma nzito za sabotage kama zile. Ila kama ni hawa wasiojulikana ndiyo handlers wenyewe wa sampuli, ambao wao hata risasi hukata kona, mbona kuwaamini yahitaji moyo wa ziada?

5. "Kila kifo si lazima ni Corona".

Hivi ni kipi walichothibitisha kuwa ni cha Corona? Anapendekeza hadi maiti ivalishwa PPE ili kusafirishwa kama vile wauguzi wenyewe wanazo hizo PPE za kukidhi mahitaji yao.

6. "Dawa inapatikana Madagascar, tutatuma ndege ikalete".

Dawa inayosemekana Madagascar ni mitishamba. Nayo ni kama hii hapa. Haya ya hivi yanapatikana maporini kote makabila mbalimbali wanaita majina yake. Huu unaitwa tetradenia riparia:

View attachment 1439832

Inahitaji ndege kufuata haya ya namna hii Antananarivo? Au labda ilikuwa mahsusi kwa ajili ya wapiga nyungu kuwaonyesha yuko busy kutafuta ufumbuzi.

7. Nk nk.

Yaonyesha hotuba ile ililenga katika kuleta confusion ile ile inayopigiwa chapuo kwa bidii na wale waimba mapambio na mavuvuzela yao. Tukibakia pale pale acha wenye kufa wafe wa kuishi waishi hadi tiba au chanjo ipatikane.
Lawama zingine hazina mantiki hata kidogo! Hebu tujikite kwenye suala la Barakoa. Ushauri wa rais kuhusu wananchi wengine (siyo madaktari na wauguzi) kutumia Barakoa za vitambaa ni sahihi. Hata WHO wameshauri hivyo ili surgical masks na N95 masks zitumiwe na wauguzi na madaktari ambao wako katika mazingira hatarishi zaidi. Hata Marekani wananchi wameambiwa kutumia Barakoa za vitambaa. Lakini si madaktari! Watu wasimlishe maneno Rais wetu ambayo hakusema hivyo kupotosha nia nzuri ya Rais wetu. Sasa viongozi wa hospitali ya mkoa wa Pwani Tumbi kuwapa madaktari barakoa za vitambaa eti ndivyo rais kasema ni upotoshaji uliokithiri! Wamulikwe!
 
Nchi hii imepata mtu mwongo yaani anafikiri sisi tutamwamini yeye?
Hata WHO wameshauri watumie barakoa za Vitambaa isipokuwa watumishi wa afya mahospitalini. Ingia website yao uone. Marekani hali kadhalika. Huo ushauri hsuna kasoro hata kidogo. Tatizo watu wanataka kuchomekea vya kwao halafu mwisho wa siku watu hao hao waanze kulaumu!!
 
Kuna Mwalimu wangu alikuwa anatuambia mara nyingi msemo huu! Ng'ombe hajui thamani ya mkia wake mpaka utakapokatika!! Siku mkia ukikatika ndipo atakapojua kuwa kumbe mkia wake ulikuwa wa muhimu sana!
Watanzania nawaomba sana tumshukuru Mungu kwa kutupa Rais aliye mzalendo kweli kweli!! Amewakwamisha mafisadi na mawakala wa mabeberu mpaka wamechanganyikiwa!! Hawana hoja yoyote ya msingi lakini hawaachi kumsema vibaya. Kwa mfano katika uzi huu, hakuna hata mmoja anayeweza kudai kuwa Rais alisema Madaktari na wauguzi watumie mask za kujishonea za vitambaa, lakini watakejeli tu na kuikwepa hoja ya msingi!! Uzuri tu ni kwamba watu hawa ni wa kupuuzwa tu!!
 
Nilimsikiliza vyema mheshimiwa rais katika hotuba yake kuhusiana na Corona alipokuwa akimwapisha waziri Mwigulu.

Waziwazi mheshimiwa rais alipotosha kwa makusudi katika maeneo kadhaa labda kwa maslahi zaidi ya kisiasa. Kwa bahati mbaya gonjwa hili halihitaji propaganda za kisiasa bali ufumbuzi pekee wa kisayansi:

1. "Wanasema ni lockdown, watapata wapi chakula wanachopata masokoni. Kwenye lockdown, masoko nayo yatafungwa. Watakosa chakula maana hawana mashamba."

Huu ni upotoshaji wa makusudi kwani hata kwenye total lockdown, sehemu za muhimu kama za manunuzi ya vyakula huwa wazi. Huwa kuna taratibu tofauti tofauti kutegemeana na mahali, ambapo kwingine wachuuzi huuza kwa zamu ili kuzuia mikusanyiko, nk.

2. "Wanasema ni lockdown wakati wanaendesha ma STK. Wanajua hata hiyo mishahara yao inatokana na kodi. Watakula wapi?"

Huu ni upotoshaji mwingine wa wazi kujaribu kuweka mwonekano batili kuwa katu serikali haziwajibiki kwa lolote kwenye majanga.

3. "Nimeongea na marais Ramaphosa na Museveni. Huko walikokuwa na lockdown wanalia. Wamekufa maelfu 50+ kwa njaa na hivi wako kwenye kuachana na hizo lockdown."

South Africa wako kwenye hatua za kumaliza iliyokuwa total lockdown na Ramaphosa alikuwa wazi tokea mwanzo, kuwa heri waende kwenye total lockdown mapema kuliko baadaye maana ingewagharimu zaidi in terms of maisha na hata raslimali kwa baadaye kama wakichelewa. Walienda lockdown wakiwa na wagonjwa chini ya 200. Sasa kasi ya maambukizi imedhibitiwa.

South Africa walikuwa wanagawa chakula bure kwa wahitaji. Ugonjwa umedhibitiwa kwa ujumla, kwani kasi ya maambukizi wamesha idhibiti na sasa wanarejea pole pole kwenye maisha ya kawaida.

Uganda walikuwa kwenye partial lockdown waliyoianza mapema mno. Case zao zote zilikuwa ni imported hawakuwa na maambukizi ya ndani kabisa kabisa. Wao si vifo vya Corona tu, bali hata vya njaa navyo hamna.

Ugonjwa wameshaudhibiti na wanarejea pole pole kwenye maisha yao ya kawaida.

Wapi huko Meko alikuwa akidai maelfu wamekufa njaa kwenye lockdown? Tumepigwa changa la macho. Si mbaya akijua hawezi kuwadanganya watu wote siku zote.

4. "Sampuli mbali mbali za kware, kondoo, mbuzi, oil nk, kuwa na majibu hata positive au negative".

Sampuli zinaweza kuwa contaminated (cross contamination). Bila ya kujua handling ya sampuli tokea kwenye source hadi mrejesho wa majibu labda kama handlers ni malaika vinginevyo si sahihi kuwa na tuhuma nzito za sabotage kama zile. Ila kama ni hawa wasiojulikana ndiyo handlers wenyewe wa sampuli, ambao wao hata risasi hukata kona, mbona kuwaamini yahitaji moyo wa ziada?

5. "Kila kifo si lazima ni Corona".

Hivi ni kipi walichothibitisha kuwa ni cha Corona? Anapendekeza hadi maiti ivalishwa PPE ili kusafirishwa kama vile wauguzi wenyewe wanazo hizo PPE za kukidhi mahitaji yao.

6. "Dawa inapatikana Madagascar, tutatuma ndege ikalete".

Dawa inayosemekana Madagascar ni mitishamba. Nayo ni kama hii hapa. Haya ya hivi yanapatikana maporini kote makabila mbalimbali wanaita majina yake. Huu unaitwa tetradenia riparia:

View attachment 1439832

Inahitaji ndege kufuata haya ya namna hii Antananarivo? Au labda ilikuwa mahsusi kwa ajili ya wapiga nyungu kuwaonyesha yuko busy kutafuta ufumbuzi.

7. Nk nk.

Yaonyesha hotuba ile ililenga katika kuleta confusion ile ile inayopigiwa chapuo kwa bidii na wale waimba mapambio na mavuvuzela yao. Tukibakia pale pale acha wenye kufa wafe wa kuishi waishi hadi tiba au chanjo ipatikane.

Kichwa cha habari tu kinasema Mengi kuhusu mtu aliyeandika kuliko alichoandika. Pole sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa cha habari tu kinasema Mengi kuhusu mtu aliyeandika kuliko alichoandika. Pole sana.


Sent using Jamii Forums mobile app

Jadili hoja si mleta hoja. Kumjadili mleta hoja, hakuna tofauti na kufumba macho ili kujificha. Yaani, kudhani kuwa kwa vile matokeo yake unakuwa huoni, basi kila mtu hakuoni na hivyo kuwa ati sasa kuwa umejificha kweli kweli na kuwa huonekani.

Heshimuni mawazo ya watu wengine. "Mtanzania wa leo si yule wa jana". Mwisho wa kumnukuu.

Si wote mtawalisha matango pori wameze tu na akili za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Back
Top Bottom