Lockdown kaeni Nyie chadema msiojitambua
Kwa ulichokiandika
1. Nakufananisha
na mtoto wa shule ambaye ukiomba Ada baba akikuambia 'SUBIRI MWISHO WA MWEZI', inaanza kulia na kuzira.
2. Unajua vyanzo vya Ela vinavyosaidia kulipa hiyo mishahara..he wahisi havitaayhirika wakifanya
Nilimsikiliza vyema mheshimiwa rais katika hotuba yake kuhusiana na Corona alipokuwa akimwapisha waziri Mwigulu.
Waziwazi mheshimiwa rais alipotosha kwa makusudi katika maeneo kadhaa labda kwa maslahi zaidi ya kisiasa. Kwa bahati mbaya gonjwa hili halihitaji propaganda za kisiasa bali ufumbuzi pekee wa kisayansi:
1. "Wanasema ni lockdown, watapata wapi chakula wanachopata masokoni. Kwenye lockdown, masoko nayo yatafungwa. Watakosa chakula maana hawana mashamba."
Huu ni upotoshaji wa makusudi kwani hata kwenye total lockdown, sehemu za muhimu kama za manunuzi ya vyakula huwa wazi. Huwa kuna taratibu tofauti tofauti kutegemeana na mahali, ambapo kwingine wachuuzi huuza kwa zamu ili kuzuia mikusanyiko, nk.
2. "Wanasema ni lockdown wakati wanaendesha ma STK. Wanajua hata hiyo mishahara yao inatokana na kodi. Watakula wapi?"
Huu ni upotoshaji mwingine wa wazi kujaribu kuweka mwonekano batili kuwa katu serikali haziwajibiki kwa lolote kwenye majanga.
3. "Nimeongea na marais Ramaphosa na Museveni. Huko walikokuwa na lockdown wanalia. Wamekufa maelfu 50+ kwa njaa na hivi wako kwenye kuachana na hizo lockdown."
South Africa wako kwenye hatua za kumaliza iliyokuwa total lockdown na Ramaphosa alikuwa wazi tokea mwanzo, kuwa heri waende kwenye total lockdown mapema kuliko baadaye maana ingewagharimu zaidi in terms of maisha ya watu na hata raslimali kwa baadaye kama wakichelewa. Walienda lockdown wakiwa na wagonjwa chini ya 200. Sasa kasi ya maambukizi imedhibitiwa.
South Africa walikuwa wanagawa chakula bure kwa wahitaji. Ugonjwa umedhibitiwa kwa ujumla, kwani kasi ya maambukizi wamesha idhibiti na sasa wanarejea pole pole kwenye maisha yao ya kawaida.
Uganda walikuwa kwenye partial lockdown waliyoianza mapema mno. Case zao zote muda wote zimekuwa ni imported. Hawakuwa na maambukizi ya ndani kabisa. Wao si vifo vya Corona tu, bali hata vya njaa navyo hamna.
Ugonjwa wameshaudhibiti na wanarejea pole pole kwenye maisha yao ya kawaida.
Wapi huko Meko alikuwa akidai maelfu wamekufa njaa kwenye lockdown? Tumepigwa changa la macho. Si mbaya akijua kuwa hawezi kuwadanganya watu wote siku zote.
4. "Sampuli mbalimbali za kware, kondoo, mbuzi, oil nk, kuwa na majibu hata positive au negative".
Sampuli zinaweza kuwa contaminated (cross contamination). Bila ya kujua handling ya sampuli ilikuwa je, tokea kwenye source hadi mrejesho wa majibu, labda kama handlers ni malaika; vinginevyo si sahihi kuwa na tuhuma nzito za sabotage kama zile alizozitoa kwa wote. Ila kama ni hawa wasiojulikana ndiyo wenyewe handlers wa hizo sampuli (katika hatua yoyote), hawa ambao wao hata risasi hukata kona, mbona kuwaamini yahitaji moyo wa ziada?
5. "Kila kifo si lazima ni Corona".
Hivi ni kifo kipi walichothibitisha kuwa ni cha Corona? Anapendekeza hadi maiti ivalishwa PPE ili kusafirishwa, kama vile wauguzi wenyewe wanazo hizo PPE za kukidhi mahitaji yao.
6. "Dawa inapatikana Madagascar, tutatuma ndege ikalete".
Dawa inayosemekana Madagascar ni mitishamba. Nayo ni kama hii hapa. Haya ya hivi yanapatikana maporini kote. Makabila mbalimbali wanaita majina yake. Huu unaitwa Tetradenia riparia:
View attachment 1439832
Inahitaji ndege kufuata haya ya namna hii Antananarivo? Au labda ilikuwa mahsusi kwa ajili ya wapiga nyungu kuwaonyesha yuko busy kutafuta ufumbuzi?
7. Nk nk.
Yaonyesha hotuba ile ililenga katika kuleta confusion ile ile inayopigiwa chapuo kwa bidii na wale waimba mapambio na mavuvuzela yao. Huku tukibakia pale pale kwenye acha wenye kufa wafe, wa kuishi waishi hadi tiba au chanjo itakapopatikana.
Nchi hii imepata mtu mwongo yaani anafikiri sisi tutamwamini yeye?
Ninaona hata uchambuzi wako mkuu unabiases. Tunaomba utupe takwimu za kitaalam. Ni kwa kiasi gani kutokufungia Watanzania ndani kumesababisha ongezeko la madhara ya Corona kwa Watanzania? Tungefungia ndani watu hali ingekuwa bora kwa kiwango gani?
Mfano wako ulinganishe na nchi nyingine ya aina yetu yenye population size inayokaribia na 60m.
Zaidi ya lock down, ni kipi hasa unacholalamika ambacho raisi wetu angefanya katika kuboresha hali zetu?
Unapoandika mada kwa msukumo wa mihemuko na preconceptions inakuwa dhahiri sana kwamba unalengo la kuvutia watu kwenye upande wako bila scientific justifications.
Jaribu kubalance maelezo yako.
Mkuu uko nje ya mada. Jikite kwenye hoja.
Uzi una nukuu zote tokea katika hotuba aliyoitoa mheshimiwa rais. Labda kama kuna nukuu unayoipinga.
Zaidi ya nukuu, nimeonyesha kwa nini alichokisema siyo kweli.
Angalia maswali yako yote yako nje ya hoja (irrelevant).
Kama una maswali nje ya mada kama hayo, mkuu fungua uzi mahsusi kwa hilo wengi watakuelimisha kama ni nia yako kufahamu.
Mihemuko unayo wewe mkuu kwani hata hujaelewa nini kinacho ongelewa kwenye uzi huu.
Kaa wewe lockdown wakulungwa weehNilimsikiliza vyema mheshimiwa rais katika hotuba yake kuhusiana na Corona alipokuwa akimwapisha waziri Mwigulu.
Waziwazi mheshimiwa rais alipotosha kwa makusudi katika maeneo kadhaa labda kwa maslahi zaidi ya kisiasa. Kwa bahati mbaya gonjwa hili halihitaji propaganda za kisiasa bali ufumbuzi pekee wa kisayansi:
1. "Wanasema ni lockdown, watapata wapi chakula wanachopata masokoni. Kwenye lockdown, masoko nayo yatafungwa. Watakosa chakula maana hawana mashamba."
Huu ni upotoshaji wa makusudi kwani hata kwenye total lockdown, sehemu za muhimu kama za manunuzi ya vyakula huwa wazi. Huwa kuna taratibu tofauti tofauti kutegemeana na mahali, ambapo kwingine wachuuzi huuza kwa zamu ili kuzuia mikusanyiko, nk.
2. "Wanasema ni lockdown wakati wanaendesha ma STK. Wanajua hata hiyo mishahara yao inatokana na kodi. Watakula wapi?"
Huu ni upotoshaji mwingine wa wazi kujaribu kuweka mwonekano batili kuwa katu serikali haziwajibiki kwa lolote kwenye majanga.
3. "Nimeongea na marais Ramaphosa na Museveni. Huko walikokuwa na lockdown wanalia. Wamekufa maelfu 50+ kwa njaa na hivi wako kwenye kuachana na hizo lockdown."
South Africa wako kwenye hatua za kumaliza iliyokuwa total lockdown na Ramaphosa alikuwa wazi tokea mwanzo, kuwa heri waende kwenye total lockdown mapema kuliko baadaye maana ingewagharimu zaidi in terms of maisha ya watu na hata raslimali kwa baadaye kama wakichelewa. Walienda lockdown wakiwa na wagonjwa chini ya 200. Sasa kasi ya maambukizi imedhibitiwa.
South Africa walikuwa wanagawa chakula bure kwa wahitaji. Ugonjwa umedhibitiwa kwa ujumla, kwani kasi ya maambukizi wamesha idhibiti na sasa wanarejea pole pole kwenye maisha yao ya kawaida.
Uganda walikuwa kwenye partial lockdown waliyoianza mapema mno. Case zao zote muda wote zimekuwa ni imported. Hawakuwa na maambukizi ya ndani kabisa. Wao si vifo vya Corona tu, bali hata vya njaa navyo hamna.
Ugonjwa wameshaudhibiti na wanarejea pole pole kwenye maisha yao ya kawaida.
Wapi huko Meko alikuwa akidai maelfu wamekufa njaa kwenye lockdown? Tumepigwa changa la macho. Si mbaya akijua kuwa hawezi kuwadanganya watu wote siku zote.
4. "Sampuli mbalimbali za kware, kondoo, mbuzi, oil nk, kuwa na majibu hata positive au negative".
Sampuli zinaweza kuwa contaminated (cross contamination). Bila ya kujua handling ya sampuli ilikuwa je, tokea kwenye source hadi mrejesho wa majibu, labda kama handlers ni malaika; vinginevyo si sahihi kuwa na tuhuma nzito za sabotage kama zile alizozitoa kwa wote. Ila kama ni hawa wasiojulikana ndiyo wenyewe handlers wa hizo sampuli (katika hatua yoyote), hawa ambao wao hata risasi hukata kona, mbona kuwaamini yahitaji moyo wa ziada?
5. "Kila kifo si lazima ni Corona".
Hivi ni kifo kipi walichothibitisha kuwa ni cha Corona? Anapendekeza hadi maiti ivalishwa PPE ili kusafirishwa, kama vile wauguzi wenyewe wanazo hizo PPE za kukidhi mahitaji yao.
6. "Dawa inapatikana Madagascar, tutatuma ndege ikalete".
Dawa inayosemekana Madagascar ni mitishamba. Nayo ni kama hii hapa. Haya ya hivi yanapatikana maporini kote. Makabila mbalimbali wanaita majina yake. Huu unaitwa Tetradenia riparia:
View attachment 1439832
Inahitaji ndege kufuata haya ya namna hii Antananarivo? Au labda ilikuwa mahsusi kwa ajili ya wapiga nyungu kuwaonyesha yuko busy kutafuta ufumbuzi?
7. Nk nk.
Yaonyesha hotuba ile ililenga katika kuleta confusion ile ile inayopigiwa chapuo kwa bidii na wale waimba mapambio na mavuvuzela yao. Huku tukibakia pale pale kwenye acha wenye kufa wafe, wa kuishi waishi hadi tiba au chanjo itakapopatikana.
Safi kabisa!Nilimsikiliza vyema mheshimiwa rais katika hotuba yake kuhusiana na Corona alipokuwa akimwapisha waziri Mwigulu.
Waziwazi mheshimiwa rais alipotosha kwa makusudi katika maeneo kadhaa labda kwa maslahi zaidi ya kisiasa. Kwa bahati mbaya gonjwa hili halihitaji propaganda za kisiasa bali ufumbuzi pekee wa kisayansi:
1. "Wanasema ni lockdown, watapata wapi chakula wanachopata masokoni. Kwenye lockdown, masoko nayo yatafungwa. Watakosa chakula maana hawana mashamba."
Huu ni upotoshaji wa makusudi kwani hata kwenye total lockdown, sehemu za muhimu kama za manunuzi ya vyakula huwa wazi. Huwa kuna taratibu tofauti tofauti kutegemeana na mahali, ambapo kwingine wachuuzi huuza kwa zamu ili kuzuia mikusanyiko, nk.
2. "Wanasema ni lockdown wakati wanaendesha ma STK. Wanajua hata hiyo mishahara yao inatokana na kodi. Watakula wapi?"
Huu ni upotoshaji mwingine wa wazi kujaribu kuweka mwonekano batili kuwa katu serikali haziwajibiki kwa lolote kwenye majanga.
3. "Nimeongea na marais Ramaphosa na Museveni. Huko walikokuwa na lockdown wanalia. Wamekufa maelfu 50+ kwa njaa na hivi wako kwenye kuachana na hizo lockdown."
South Africa wako kwenye hatua za kumaliza iliyokuwa total lockdown na Ramaphosa alikuwa wazi tokea mwanzo, kuwa heri waende kwenye total lockdown mapema kuliko baadaye maana ingewagharimu zaidi in terms of maisha ya watu na hata raslimali kwa baadaye kama wakichelewa. Walienda lockdown wakiwa na wagonjwa chini ya 200. Sasa kasi ya maambukizi imedhibitiwa.
South Africa walikuwa wanagawa chakula bure kwa wahitaji. Ugonjwa umedhibitiwa kwa ujumla, kwani kasi ya maambukizi wamesha idhibiti na sasa wanarejea pole pole kwenye maisha yao ya kawaida.
Uganda walikuwa kwenye partial lockdown waliyoianza mapema mno. Case zao zote muda wote zimekuwa ni imported. Hawakuwa na maambukizi ya ndani kabisa. Wao si vifo vya Corona tu, bali hata vya njaa navyo hamna.
Ugonjwa wameshaudhibiti na wanarejea pole pole kwenye maisha yao ya kawaida.
Wapi huko Meko alikuwa akidai maelfu wamekufa njaa kwenye lockdown? Tumepigwa changa la macho. Si mbaya akijua kuwa hawezi kuwadanganya watu wote siku zote.
4. "Sampuli mbalimbali za kware, kondoo, mbuzi, oil nk, kuwa na majibu hata positive au negative".
Sampuli zinaweza kuwa contaminated (cross contamination). Bila ya kujua handling ya sampuli ilikuwa je, tokea kwenye source hadi mrejesho wa majibu, labda kama handlers ni malaika; vinginevyo si sahihi kuwa na tuhuma nzito za sabotage kama zile alizozitoa kwa wote. Ila kama ni hawa wasiojulikana ndiyo wenyewe handlers wa hizo sampuli (katika hatua yoyote), hawa ambao wao hata risasi hukata kona, mbona kuwaamini yahitaji moyo wa ziada?
5. "Kila kifo si lazima ni Corona".
Hivi ni kifo kipi walichothibitisha kuwa ni cha Corona? Anapendekeza hadi maiti ivalishwa PPE ili kusafirishwa, kama vile wauguzi wenyewe wanazo hizo PPE za kukidhi mahitaji yao.
6. "Dawa inapatikana Madagascar, tutatuma ndege ikalete".
Dawa inayosemekana Madagascar ni mitishamba. Nayo ni kama hii hapa. Haya ya hivi yanapatikana maporini kote. Makabila mbalimbali wanaita majina yake. Huu unaitwa Tetradenia riparia:
View attachment 1439832
Inahitaji ndege kufuata haya ya namna hii Antananarivo? Au labda ilikuwa mahsusi kwa ajili ya wapiga nyungu kuwaonyesha yuko busy kutafuta ufumbuzi?
7. Nk nk.
Yaonyesha hotuba ile ililenga katika kuleta confusion ile ile inayopigiwa chapuo kwa bidii na wale waimba mapambio na mavuvuzela yao. Huku tukibakia pale pale kwenye acha wenye kufa wafe, wa kuishi waishi hadi tiba au chanjo itakapopatikana.
hawa vilaza sometimes unatamani usiwajibu,lakini unagundua atadanganya wengine huko mtaani.hyo namba moja.ni nani atafungua maduka ya vyakula na magenge wakati kila mtu yupo kwake na hakuna kutoka nje?.
Umeona rwanda total lockdown yao?.
Sawa utaruhusu wauzaji wa maduka wafungue maduka na magenge.
HAO WANANCHI WATAKUWA NA HELA YA KUNUNULIA HVYO VITU WAKATI HAWAFANYI KAZI?.
Wakati wewe unawaza lockdown wenzio wameshaanza kutoka nje.View attachment 1440071
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaa wewe lockdown wakulungwa weeh
Wewe huwezi kunielewa. Acha wenye ufahamu wataelewa. Ninajua JF si LinkedIn.
hawa vilaza sometimes unatamani usiwajibu,lakini unagundua atadanganya wengine huko mtaani.
basi tu ni vile huwezi fanya jaribio la kishusha uchumi maana kuushusha nusu saa itachukua recov ya miezi kadhaa.
wataelewa tu mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akifa shangazi yako akili ndio itakukaa sawa.Huyo mnaemfuata ye yuko chato kaji isolate bumunda weweWewe ndio upuuzwe!!
shangazi akifa naye ni binaadam,hatuwezi kufanya maamuzi yenye hatma ya wengi kisa shangazi atakufa au bibi.Akifa shangazi yako akili ndio itakukaa sawa.Huyo mnaemfuata ye yuko chato kaji isolate bumunda wewe
Mzalendo? Wazikumbuka nyumba za serikali alizogawa kwa ndugu na washikaji. Ununuzi wa ndege ........etc.Kuna Mwalimu wangu alikuwa anatuambia mara nyingi msemo huu! Ng'ombe hajui thamani ya mkia wake mpaka utakapokatika!! Siku mkia ukikatika ndipo atakapojua kuwa kumbe mkia wake ulikuwa wa muhimu sana!
Watanzania nawaomba sana tumshukuru Mungu kwa kutupa Rais aliye mzalendo kweli kweli!! Amewakwamisha mafisadi na mawakala wa mabeberu mpaka wamechanganyikiwa!! Hawana hoja yoyote ya msingi lakini hawaachi kumsema vibaya. Kwa mfano katika uzi huu, hakuna hata mmoja anayeweza kudai kuwa Rais alisema Madaktari na wauguzi watumie mask za kujishonea za vitambaa, lakini watakejeli tu na kuikwepa hoja ya msingi!! Uzuri tu ni kwamba watu hawa ni wa kupuuzwa tu!!
Nakuunga mkono kuhusu yote isipokuwa sampuli fake zilizotoa fake results. Unamaana gani sampuli hizo zilikuwa contaminated, una uhakika gani? Kwani sampuli nyingine zote ziko contaminated au hizi tu? Una maana waliochukuwa sampuli hizo wana korona sio mapapai? Kwani hao waliochukua sampuli ni wataalamu au watu baki na wazembe wasio ogopa kuzigusa hizo sampuli kama walifikiri ni za watu?Nilimsikiliza vyema mheshimiwa rais katika hotuba yake kuhusiana na Corona alipokuwa akimwapisha waziri Mwigulu.
Waziwazi mheshimiwa rais alipotosha kwa makusudi katika maeneo kadhaa labda kwa maslahi zaidi ya kisiasa. Kwa bahati mbaya gonjwa hili halihitaji propaganda za kisiasa bali ufumbuzi pekee wa kisayansi:
1. "Wanasema ni lockdown, watapata wapi chakula wanachopata masokoni. Kwenye lockdown, masoko nayo yatafungwa. Watakosa chakula maana hawana mashamba."
Huu ni upotoshaji wa makusudi kwani hata kwenye total lockdown, sehemu za muhimu kama za manunuzi ya vyakula huwa wazi. Huwa kuna taratibu tofauti tofauti kutegemeana na mahali, ambapo kwingine wachuuzi huuza kwa zamu ili kuzuia mikusanyiko, nk.
2. "Wanasema ni lockdown wakati wanaendesha ma STK. Wanajua hata hiyo mishahara yao inatokana na kodi. Watakula wapi?"
Huu ni upotoshaji mwingine wa wazi kujaribu kuweka mwonekano batili kuwa katu serikali haziwajibiki kwa lolote kwenye majanga.
3. "Nimeongea na marais Ramaphosa na Museveni. Huko walikokuwa na lockdown wanalia. Wamekufa maelfu 50+ kwa njaa na hivi wako kwenye kuachana na hizo lockdown."
South Africa wako kwenye hatua za kumaliza iliyokuwa total lockdown na Ramaphosa alikuwa wazi tokea mwanzo, kuwa heri waende kwenye total lockdown mapema kuliko baadaye maana ingewagharimu zaidi in terms of maisha ya watu na hata raslimali kwa baadaye kama wakichelewa. Walienda lockdown wakiwa na wagonjwa chini ya 200. Sasa kasi ya maambukizi imedhibitiwa.
South Africa walikuwa wanagawa chakula bure kwa wahitaji. Ugonjwa umedhibitiwa kwa ujumla, kwani kasi ya maambukizi wamesha idhibiti na sasa wanarejea pole pole kwenye maisha yao ya kawaida.
Uganda walikuwa kwenye partial lockdown waliyoianza mapema mno. Case zao zote muda wote zimekuwa ni imported. Hawakuwa na maambukizi ya ndani kabisa. Wao si vifo vya Corona tu, bali hata vya njaa navyo hamna.
Ugonjwa wameshaudhibiti na wanarejea pole pole kwenye maisha yao ya kawaida.
Wapi huko Meko alikuwa akidai maelfu wamekufa njaa kwenye lockdown? Tumepigwa changa la macho. Si mbaya akijua kuwa hawezi kuwadanganya watu wote siku zote.
4. "Sampuli mbalimbali za kware, kondoo, mbuzi, oil nk, kuwa na majibu hata positive au negative".
Sampuli zinaweza kuwa contaminated (cross contamination). Bila ya kujua handling ya sampuli ilikuwa je, tokea kwenye source hadi mrejesho wa majibu, labda kama handlers ni malaika; vinginevyo si sahihi kuwa na tuhuma nzito za sabotage kama zile alizozitoa kwa wote. Ila kama ni hawa wasiojulikana ndiyo wenyewe handlers wa hizo sampuli (katika hatua yoyote), hawa ambao wao hata risasi hukata kona, mbona kuwaamini yahitaji moyo wa ziada?
5. "Kila kifo si lazima ni Corona".
Hivi ni kifo kipi walichothibitisha kuwa ni cha Corona? Anapendekeza hadi maiti ivalishwa PPE ili kusafirishwa, kama vile wauguzi wenyewe wanazo hizo PPE za kukidhi mahitaji yao.
6. "Dawa inapatikana Madagascar, tutatuma ndege ikalete".
Dawa inayosemekana Madagascar ni mitishamba. Nayo ni kama hii hapa. Haya ya hivi yanapatikana maporini kote. Makabila mbalimbali wanaita majina yake. Huu unaitwa Tetradenia riparia:
View attachment 1439832
Inahitaji ndege kufuata haya ya namna hii Antananarivo? Au labda ilikuwa mahsusi kwa ajili ya wapiga nyungu kuwaonyesha yuko busy kutafuta ufumbuzi?
7. Nk nk.
Yaonyesha hotuba ile ililenga katika kuleta confusion ile ile inayopigiwa chapuo kwa bidii na wale waimba mapambio na mavuvuzela yao. Huku tukibakia pale pale kwenye acha wenye kufa wafe, wa kuishi waishi hadi tiba au chanjo itakapopatikana.
Nakuunga mkono kuhusu yote isipokuwa sampuli fake zilizotoa fake results. Unamaana gani sampuli hizo zilikuwa contaminated, una uhakika gani? Kwani sampuli nyingine zote ziko contaminated au hizi tu? Una maana waliochukuwa sampuli hizo wana korona sio mapapai? Kwani hao waliochukua sampuli ni wataalamu au watu baki na wazembe wasio ogopa kuzigusa hizo sampuli kama walifikiri ni za watu?
Wengi hawajamuelewa Rais, ilibidi muelewe kuwa kuna utata wa vipimo, vinaweza kuonyesha positive wakati ni negative. Hata hivyo Rais mwenyewe hajaelewa kwa nini majibu ya vipimo ni ya uongo na kuwasimamisha kazi wakuu wa maabara badala ya kuwatumia kufanya uchunguzi. Mwisho wa yote ameonekana mpuuzi lakini wengi hasa nchi za jirani wanashukuru kwa ugunduzi wake, lakini wale wenye busara tu.