Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Yani Mzee Baba huweziamini hiki ni kizazi cha ajabu hakijawahitokea hata siku 1 kwa huu upupuTunakoelekea Diamond anaweza kutooga mwaka na kuanza kunuka lakini kuna mtu atasema ni Cologne/Perfume hiyo ametumia
Ndoo akome alifikiri akimtaja yusu wakiristo watasema safi diamond sio mbaguzi matokeo yake kajikwaa anguka tu kwanza unatuaibisha kiimaniKuna uzi wa kupotosha umefunguliwa ukilenga kupotosha watu dhidi ya wimbo wa msanii Diamond uliotolewa hivi karibuni na naona unazidi kupata umaarufu mkubwa hapa jukwaani.
Na wachangiaji wake wengi wameonekana kusapoti uzi huu bila kuthibitisha hali inayosababisha kuchafua image ya Msanii Diamond mbele ya jamii bila sababu za msingi.
Mistari halisi ya wimbo wa Diamond inasema
"Wewe ndio wangu yesu mkombozi sa mbona petro unaniacha mwenyewe."
akifananisha kitendo cha yeye kuachwa sawa na yesu alivyo muacha petro
yaani main theme hapo ni kuachwa ndio maana katumia kisa kizima cha petro kuachwa na yesu na hajamtaja yesu kama mwanamke.
Ila mtoa mada kasema".... wewe ndio wangu yesu mkombozi sa mbona unaniacha mwenyewe..."
mtoa mada ameamua kutoa neno petro ili kuhalalisha upotoshaji na kumfarakanisha Diamond na jamii ya kikristo.
Hakuna kosa lolote hapo kifasihi zaidi tu tuseme kijana katumia ubunifu.
Wana jf tuwe makini tunapoanzisha na kuchangia uzi tusiwachafue watu mbele ya jamii bila sababu ya msingi.
Mwambieni huyo Mondi..yeye muislamu mara ya pili anazungumzia..mwambieni tutamchapaKuna uzi wa kupotosha umefunguliwa ukilenga kupotosha watu dhidi ya wimbo wa msanii Diamond uliotolewa hivi karibuni na naona unazidi kupata umaarufu mkubwa hapa jukwaani.
Na wachangiaji wake wengi wameonekana kusapoti uzi huu bila kuthibitisha hali inayosababisha kuchafua image ya Msanii Diamond mbele ya jamii bila sababu za msingi.
Mistari halisi ya wimbo wa Diamond inasema
"Wewe ndio wangu yesu mkombozi sa mbona petro unaniacha mwenyewe."
akifananisha kitendo cha yeye kuachwa sawa na yesu alivyo muacha petro
yaani main theme hapo ni kuachwa ndio maana katumia kisa kizima cha petro kuachwa na yesu na hajamtaja yesu kama mwanamke.
Ila mtoa mada kasema".... wewe ndio wangu yesu mkombozi sa mbona unaniacha mwenyewe..."
mtoa mada ameamua kutoa neno petro ili kuhalalisha upotoshaji na kumfarakanisha Diamond na jamii ya kikristo.
Hakuna kosa lolote hapo kifasihi zaidi tu tuseme kijana katumia ubunifu.
Wana jf tuwe makini tunapoanzisha na kuchangia uzi tusiwachafue watu mbele ya jamii bila sababu ya msingi.
Aliyekurupuka ni wewe kutetea mambo yanayoleta mgawanyiko kwenye jamiiumesoma nilichoandika au unakurupuka tu ku comment???
Na hakika unahudhuria club zinapochezwa nyimbo za kidunia (circular).Kwanini wachukue maneno matano tu wakati sentensi ni zaid ya maneno matano?chuki,wivu na fitna ni sumu