Upotoshaji wa Muungano ni Zanzibar na Tanganyika na wala siyo Tanzania Bara na Zanzibar

bali maeneo ya Pwani
Pwani ya Tanganyika ni Tanganyika lakini pia Kilimanjaro kuna claim kuwa Wafalme wa Uchagani walikuwa ni vassals wa Sultan wa Zanzibar Ujiji hadi Potwe kwenye Ziwa Mweru huko DRC.
 
Pwani ya Tanganyika ni Tanganyika lakini pia Kilimanjaro kuna claim kuwa Wafalme wa Uchagani walikuwa ni protectorate wa Sultan wa Zanzibar Ujiji hadi Potwe kwenye Ziwa Mweru huko DRC.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaumwa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…