Hakika tumejionea jinsi uchaguzi wa Tanzania ulivyokuwa tulivu na amani na ndiyo kitu kila mtanzania huwa anakiota maana pasipo na amani maendeleo huwa ni ndoto. Sasa kwa hawa ndugu zetu waliojipachika ukimbizi usio na maana kwa kipi walichokimbia Tanzania nani anawatishia usalama wao Kinachoshangaza zaidi huwa ni hayo mataifa wanayowapokea hao wanaojifanya wakimbizi bila kuangalia hiyo nchi walitoroka kuna vurugu gani hapo lazima tujue kuwa haoni vibaraka wa wazungu wameshindwa walichozamiria sasa wana taka kuchafua nchi kuwa imezalisha wakimbizi cha kuwaombawwatanzania tu ni kuwamakini nawatu kamahao wanasubutukuza nchiyao kwamabeberu ambaomwisho wasiku nikututengenezwa vitaili wafaidirasilimali zanchi yetu