Upumbavu uwe ni kosa la jinai

Upumbavu uwe ni kosa la jinai

Zeni2017

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2017
Posts
1,247
Reaction score
534
6d46343674854fce98409983f2d6d242.jpg


Ingekuwa vyema watunga sheria wakafanya mchakatuo wa kuweka vigezo vitakavyofanya upumbavu uwe ni kosa ni la jinai kwa nchi zisizoendelea. Ili tujenge utamaduni wa uwajibikaji uzembe na upumbavu vinapaswa kuadhibiwa na mahakama.
 
Back
Top Bottom