Upumbavu uwe ni kosa la jinai

Zeni2017

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2017
Posts
1,247
Reaction score
534


Ingekuwa vyema watunga sheria wakafanya mchakatuo wa kuweka vigezo vitakavyofanya upumbavu uwe ni kosa ni la jinai kwa nchi zisizoendelea. Ili tujenge utamaduni wa uwajibikaji uzembe na upumbavu vinapaswa kuadhibiwa na mahakama.
 
Na mtu akitamka upumbavu afungwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…