beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Nchi hiyo imeacha kutoa Dozi ya pili ya Chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19 ili kutoa kipaumbele kwa wale ambao bado hawajapata Dozi ya kwanza.
Kutokana na upungufu, Serikali imesema itagawa Chanjo zilizobaki katika maeneo ambayo yameripoti ongezeko la maambukizi na vifo, na ambao wanasubiri Dozi ya pili watasubiri hadi Julai.
Kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Taifa hilo, Dozi za AstraZeneca zinatarajiwa kuwasili mwezi Julai kupitia Mpango wa COVAX.
=====
Namibia has stopped giving second Covid-19 vaccine doses to prioritise those who are yet to receive their first jabs as supplies dwindle
The health ministry said it will redistribute its remaining Covid-19 vaccine stock to areas with increased virus cases and fatalities
The ministry said those due for their second dose will only be vaccinated in July when new stocks arrive
The Namibian news site reported that the country had run out of the China-made Sinopharm vaccine
The health ministry said it was expecting AstraZeneca doses in July through the Covax scheme.
Source: BBC
Kutokana na upungufu, Serikali imesema itagawa Chanjo zilizobaki katika maeneo ambayo yameripoti ongezeko la maambukizi na vifo, na ambao wanasubiri Dozi ya pili watasubiri hadi Julai.
Kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Taifa hilo, Dozi za AstraZeneca zinatarajiwa kuwasili mwezi Julai kupitia Mpango wa COVAX.
=====
Namibia has stopped giving second Covid-19 vaccine doses to prioritise those who are yet to receive their first jabs as supplies dwindle
The health ministry said it will redistribute its remaining Covid-19 vaccine stock to areas with increased virus cases and fatalities
The ministry said those due for their second dose will only be vaccinated in July when new stocks arrive
The Namibian news site reported that the country had run out of the China-made Sinopharm vaccine
The health ministry said it was expecting AstraZeneca doses in July through the Covax scheme.
Source: BBC