Upungufu wa nguvu za kiume ni stereotype

Upungufu wa nguvu za kiume ni stereotype

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Mwenye jukumu la kuwajibika ni mwanamke mwenyewe, utayari wa kimwili na kiakili wa mwanamke mwenyewe ndio utamuwezesha kuridhika na tendo.

Mwanamke hana hisia na anaefanya nae sex (kajiegesha tu kwenye hayo mahusiano sababu ya njaa au tamaa zake), mwanamke ana maex sio chini ya watano (wakati wote wa tendo anakulinganisha na maex wake), mwanamke anawaza utamuachia shilingi ngapi wakati wa kuondoka, hapo mwanaume hata ukeshe unajichosha tu.

Upungufu wa nguvu za kiume ni kama mwanaume anashindwa kusimamisha kabisa uume au hawezi kuendelea round ya pili baada ya round ya kwanza(kwa kawaida mwanaume anahitaji dakika 40 aendelee round ya pili, ingawa wapo wanaoweza kuendelea baada ya muda pungufu zaidi)

Mwanaume kuwahi kumwaga sio tatizo. Mwanaume kama unataka kuchelewa kumwaga ni suala la kucheza na saikolojia yako wakati wa tendo vile vile kuna aina ya vyakula, vinywaji, dawa au mazoezi ya kufanya ili uchelewe kumwaga (ingawa vinywaji na dawa sio chaguo salama)

Kujichelewesha kumwaga ni favor tu ambayo mwanaume anaifanya ili kumtosheleza mwanamke, sio lazima mwanaume kujichelewesha. Wanawake wanatakiwa wajue kufanyiwa favor sio haki ni hiyari ya anaekufanyia iyo favor.

Hii tabia ya kurusha lawama kwa wanaume tu inafanya wanawake wanajisahau na matokeo yake hawataki au hawajui kwamba na wao wanatakiwa kuwajibika.

Kinachoitwa upungufu wa nguvu za kiume ni stereotype tu iliyotengenezwa kwenye jamii ili watu wafanye biashara. Mwanaume ametengenezwa kisaikolojia kuwa ndie mwenye tatizo kwa sababu akilengwa yeye inalipa kibiashara ila ukija kwenye uhalisia wa tatizo shida ipo upande wa mwanamke.
 
IMG_20240729_023134_074.jpg


Mzee wa kimila nimefika tayari nawasubiri wajumbe tuitazame hii mada kwa mapana zaidi.
 
Utasikia,"SIO HIVYOO! UMENIUMIZA HIII!,INATOSHA BHANA! BADO TUU HUJAKOJOA! USINISHIKE HIVYO!.ni vikauli vinafanya mtu aishie goli moja au akashindwa kukojoa kabisa😂😂🙏🙏
 
Utasikia,"SIO HIVYOO! UMENIUMIZA HIII!,INATOSHA BHANA! BADO TUU HUJAKOJOA! USINISHIKE HIVYO!.ni vikauli vinafanya mtu aishie goli moja au akashindwa kukojoa kabisa😂😂🙏🙏
Kuna changamoto nyingi sana upande wa mwanamke ndio vile tu mwanaume kafanywa mbuzi wa kafala kwa sababu ya masilahi ya watu.
 
Wanawake watakutoa roho huchoki kuwaongelea??
Kufikishana kileleni ni suala la hisia, huwezi kufika ukafanya km jogoo kishingo ukaachwa usiambiwe ukweli.!!

Na usiwasemee wanaume wote, wengine hawawezi kufanya dk chache km wewe.!!
 
Mwenye jukumu la kuwajibika ni mwanamke mwenyewe, utayari wa kimwili na kiakili wa mwanamke mwenyewe ndio utamuwezesha kuridhika na tendo.

Mwanamke hana hisia na anaefanya nae sex (kajiegesha tu kwenye hayo mahusiano sababu ya njaa au tamaa zake), mwanamke ana maex sio chini ya watano (wakati wote wa tendo anakulinganisha na maex wake), mwanamke anawaza utamuachia shilingi ngapi wakati wa kuondoka, hapo mwanaume hata ukeshe unajichosha tu.

Upungufu wa nguvu za kiume ni kama mwanaume anashindwa kusimamisha kabisa uume au hawezi kuendelea round ya pili baada ya round ya kwanza(kwa kawaida mwanaume anahitaji dakika 40 aendelee round ya pili, ingawa wapo wanaoweza kuendelea baada ya muda pungufu zaidi)

Mwanaume kuwahi kumwaga sio tatizo. Mwanaume kama unataka kuchelewa kumwaga ni suala la kucheza na saikolojia yako wakati wa tendo vile vile kuna aina ya vyakula, vinywaji, dawa au mazoezi ya kufanya ili uchelewe kumwaga (ingawa vinywaji na dawa sio chaguo salama)

Kujichelewesha kumwaga ni favor tu ambayo mwanaume anaifanya ili kumtosheleza mwanamke, sio lazima mwanaume kujichelewesha. Wanawake wanatakiwa wajue kufanyiwa favor sio haki ni hiyari ya anaekufanyia iyo favor.

Hii tabia ya kurusha lawama kwa wanaume tu inafanya wanawake wanajisahau na matokeo yake hawataki au hawajui kwamba na wao wanatakiwa kuwajibika.

Kinachoitwa upungufu wa nguvu za kiume ni stereotype tu iliyotengenezwa kwenye jamii ili watu wafanye biashara. Mwanaume ametengenezwa kisaikolojia kuwa ndie mwenye tatizo kwa sababu akilengwa yeye inalipa kibiashara ila ukija kwenye uhalisia wa tatizo shida ipo upande wa mwanamke.
Mkuu hiyo mapumziko ya dakika 40 imepitishswa na nani?
 
Mkuu hiyo mapumziko ya dakika 40 imepitishswa na nani?
That is averaging time, the time between your last orgasm and your body ready for sex again is called your refractory period. The refractory period varies from one man to another, meaning it might take anywhere from a few minutes to several hours for you to recover after sex.

Try to learn more about refractory period.
 
That is averaging time, the time between your last orgasm and your body ready for sex again is called your refractory period. The refractory period varies from one man to another, meaning it might take anywhere from a few minutes to several hours for you to recover after sex.

Try to learn more about refractory period.
Mimi ninaechukua lisaa moja hadi mawili vipi nitakuwa mzima Au
 
Mimi ninaechukua lisaa moja hadi mawili vipi nitakuwa mzima Au
Uko poa, jaribu kusogea sogea mpaka dakika 30 hivi au pale wakati bao linakuja chomoa mashine mwagia nje then rudisha ndani immediately kwa spidi ile ile uliyomaliza nayo.
 
Uko poa, jaribu kusogea sogea mpaka dakika 30 hivi au pale wakati bao linakuja chomoa mashine mwagia nje then rudisha ndani immediately kwa spidi ile ile uliyomaliza nayo.
Nimejaribu mara kadhaa ila bado naona naenda kwenye refractory period sijajua nyie mnawezaje wakuu, na shida nikienda RP nachukua hadi masaa 3 au 2hrs kurudi mchezoni. Why
 
Nimejaribu mara kadhaa ila bado naona naenda kwenye refractory period sijajua nyie mnawezaje wakuu, na shida nikienda RP nachukua hadi masaa 3 au 2hrs kurudi mchezoni. Why
Cheki na mtaalamu wa afya akupe muongozo, usijaribu kunywa dawa au chochote ambacho hauna uelewa nacho bila kupewa ushauri na mtaalamu
 
That is averaging time, the time between your last orgasm and your body ready for sex again is called your refractory period. The refractory period varies from one man to another, meaning it might take anywhere from a few minutes to several hours for you to recover after sex.

Try to learn more about refractory period.
Hii kitu watu wengi hawaijui,anataka akishafika orgasm basi akae dk 5 au kumi arudi tena ulingoni,ikiwa tofauti anaanza kuchanganyikiwa na kuanza kutafuta midawa ya nguvu za kiume akiamini kuwa zimepungua.
 
Back
Top Bottom