Upungufu wa nguvu za kiume

Upungufu wa nguvu za kiume

mpaka leo huwa sijaelewa upungufu wa nguvu ni upi hasa
mzee kusimama kwa shida_ ama kwenda dk chache, ama kushindwa rudia tendo ama kuona pajà na kumaliza hapo hapo au mzee kutumia dk nyingi kuamka baada ya tendo la kwanza, au mzee kusinzia akiwa shimoni na haamki tena
 
mpaka leo huwa sijaelewa upungufu wa nguvu ni upi hasa
mzee kusimama kwa shida_ ama kwenda dk chache, ama kushindwa rudia tendo ama kuona pajà na kumaliza hapo hapo au mzee kutumia dk nyingi kuamka baada ya tendo la kwanza, au mzee kusinzia akiwa shimoni na haamki tena
Ndo ivo aseee...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mpaka leo huwa sijaelewa upungufu wa nguvu ni upi hasa
mzee kusimama kwa shida_ ama kwenda dk chache, ama kushindwa rudia tendo ama kuona pajà na kumaliza hapo hapo au mzee kutumia dk nyingi kuamka baada ya tendo la kwanza, au mzee kusinzia akiwa shimoni na haamki tena
kusima kwa shida pia kushindwa kuamka baada ya bao la kwanza
 
kusima kwa shida pia kushindwa kuamka baada ya bao la kwanza
hawa wanawake nao wanachangia kupungua nguvu mkuu, baada ya bao la kwanza mtu haoneshi manjonjo wala hamasa ya kumuamsha mzee upya

ukiweka na mawazo yako kwamba jamaa ni mzembe kuamka inakuwa shida mara 2 kupata awamu ya 2
 
Back
Top Bottom